Nyimbo za Sifa (Popular swahili Praise songs) Chorus Collection

Wa Kusifiwa Wa Kuabudiwa

Wakusifiwa, wakuabudiwa
Ni wewe tu Mungu wa Miungu

Yesu wa Baraka

Yesu wa baraka, iyaa
Yesu wa baraka, iyaa
Yesu wa baraka, iyaa, iya, iya, iyaa

Katikati ya Miungu

Katikati ya Miungu hakuna Mungu kama wewe (Mungu kama wewe)
Katikati ya Miungu hakuna Mungu kama wewe (Mungu kama wewe)
Mungu kama wewe, Mungu kama wewe
Baba (Baba aah), Baba (Baba aah)
Yesu (Yesu uuu), Yesu (Yesu uuu)
Baba (x8)
Yesu (x8)
Roho (x8)

Mwamba mwamba Yesu ndiye mwamba

Mwamba mwamba, mwamba Mwamba. Yesu ndiye ndiye mwamba

Hakuna Mungu kama wewe Bwana

Hakuna Mungu kama wewe, Bwana Aaah aah
Hakuna Mungu kama wewe, Bwana Aaah aah
Unaweza, Unaweza Yee Yee iye Hakuna Mungu kama wewe, Bwana Aaah Wa Baraka, wa Baraka aah, aah Hakuna Mungu kama wewe Bwana Aah

Baba ninakupenda Asante Sana Bwana mwokozi wangu

Baba Baba, Baba ninakupenda, Asante Sana Bwana mwokozi wangu
kwani mimi, mimi sitaona haya, kusema wewe wangu, na mimi wako
Katika maisha yangu Bwana, Nisaidie, nisaidie Baba aah Katika masomo yangu Bwana, Nisaidie, nisaidie Baba aah

Msalaba wa Yesu Msalaba

Msalaba wa Yesu, Msalaba
Umeniokoa dhambi, Halleluyah

Mkono wa Bwana Daima

Mkono wa Bwana daima, milele daima
Umenizunguka daima milele daima

Hakuna kama Yahweh

Hakuna kama Yahweh
Hakuna kama Yahweh
Hakuna kama Yahweh
Mungu asiyeshindwa

Yesu ni Wangu

Yesu ni wangu, wa uzima wa milele.
Yesu ni wangu, wa uzima wa milele.
Yesu ni wangu, wa uzima wa milele.

Full Praise Songs Lyrics