Guardian Angel - Tunakuinua Lyrics

Tunakuinua Lyrics

Tunakuinua juu 
Wewe ni Bwana wa mabwana Yesu wee
Tunakuinua juu Yesu wee

Duniani na mbinguni 
Wewe ndio Bwana wa Mabwana 
Alpha na Omega wewe ndio mwanzo tena mwisho
Ndani ya maisha yangu wewe unatawala

Tunakuinua juu kwa hali ngumu
Na kwa magonjwa tunakuinua Baba 
Wewe pekee yako

Tunakuinua juu 
Wewe ni Bwana wa mabwana Yesu wee
Tunakuinua juu Yesu wee

Malaika mbinguni wanakuinamia Yesu 
Na sisi duniani tunakuinua juu 
Wewe ni maji ya uzima unatuliza kiu yangu yesu
Tena mkate wa uzima unashibisha haja za moyo
Simba wa kabila la Yuda unapigana vita vya wana wako 
Dakitari wa madakitari unaponya magonjwa yote Bwana 
Wewe ni maji ya uzima unatuliza kiu yangu 
Tena mkate wa uzima unashibisha haja ya moyo wangu Bwana
Simba wa kabila la Yuda

Tunakuinua juu 
Wewe ni Bwana wa mabwana Yesu wee
Tunakuinua juu Yesu wee


Tunakuinua Video

Tunakuinua Lyrics -  Guardian Angel

Guardian Angel Songs

Related Songs