Sifa Lyrics

Nakutazamia - We Ndiwe kimbilio Langu by Mercy Wairegi cover art

Mercy Wairegi - Nakutazamia - We Ndiwe kimbilio Langu Lyrics

Artist:
Mercy Wairegi

Lyrics

We ndiwe kimbilio langu


Wakati wowote nakukimbilia


We ndiwe msaada wangu


Usiku na mchana nakutazimia aah 


Nitaeleza sifa zako eh Baba


Kwa mataifa wote wajue


Ukuu wako unazidi kuzimu


Uaminifu wako wanishangaaza


Napokuita we wanisikia


Napokuomba wanijibu 


Wakati wote we wapatikana


Zaidi swahibu Upokaribu


We ndiwe kimbilio langu


Wakati wowote nakukimbilia


We ndiwe msaada wangu


Usiku na mchana nakutazimia 


Nainua macho yangu


Natazaama milimani


Msaada wangu watoka wapi?


Msaada wangu watoka kwako


x2 


We ndiwe kimbilio langu


Wakati wowote nakukimbilia


We ndiwe msaada wangu


Usiku na mchana nakutazimia


We ndiwe, wewe wewe, we ndiwe


nakukimbiliaaa


we ndiwe, we ndiwe, we ndiwe


nakutazamiaa


we ndiwe, we ndiwe


we ndiwe, we ndiwe


we ndiwe, we ndiwe(we ndiwe)


Kimbilio langu, we ndiwe


nakukimbiliaaa


we ndiwe(weeee) oooh


usiku na mchana


nakutazamia(nakutazamia wee-he)


we ndiwe kimbilio langu


Wakati wowote nakukimbilia


we ndiwe msaada wangu


Usiku na mchana nakutazimia


we ndiwe, Wewe eh eh eh


Ooh ho kimbilio langu


msaada wangu wooh


Video