Japhet Zabron - Asante Yesu Lyrics
Lyrics
Uuh, ulisimama katika upweke wangu Uuh, ukaniongoza utakavyo niishi Ukani elekeza jinsi yakuishina we Na watu, watu pia wau limwengu huu Vumilia mwangu, japo vikwazo njiani Ukani sisitiza nikutazame Yesu Kuku tegemea kukupenda Kushika andiko lako Kuomba chochote nipendacho Niku tumaini wewe Tangu nitii hayo nimeona uzuri wako Matendo yako makuu, nakupenda Yesu
Asante Yesu, kwaa kwa pendo lako Umeniifanya ni izisahau shida aahh Nitaimba sifa, ni itakutukuza Maisha yangu na ayakabidhi kwako bwana Asante Yesu, kwaa kwa pendo lako Umeniifanya ni izisahau shida aahh Nitaimba sifa, ni itakutukuza Maisha yangu na ayakabidhi kwako bwana
Uuh, uliniita katika mateso yangu Ni ikakuhitaji, katika shida zangu Kamwe hukuniacha wala haukuchelewa Kujibu haja zangu nakupenda Yesu Kwa maombi waponya, hata ninapo ugua Bwana wanifariji katika huzuni eeh Naukani fundisha upendo Maana ni tabia yako Umeinua heshima yangu Umenipandisha juu Ukanipa uzima ruhusa ya kutumika Katika nyua zako siku achi bwana
Asante Yesu, kwaa kwa pendo lako Umeniifanya ni izisahau shida aahh Aah ntaimba sifa, nitakutukuza Maisha yangu na ayakabidhi kwako bwana Asante Yesu, kwaa kwa pendo lako Umeniifanya ni izisahau shida aahh Nitaimba sifa, ni itakutukuza Maisha yangu na ayakabidhi kwako bwana
Video
Asante Yesu by Japhet Zabron