Japhet Zabron - Niombee Lyrics

Album: Niombee - Single
Released: 01 Feb 2021
iTunes Amazon Music

Lyrics

Kwa hisi anaona Nikifumba macho yangu Tena tena mazuri mengi Mungu aniwazia

Ya njiani yananitisha Hata hunirudisha nyuma Namkosea Mungu na watu Hainifurahishi kabisa

Naomba niombee Rafiki niombee Na moyo unauma Mbona hivi, naumia

Sipendi nikosee Na moyo uumie Yaiteni mapito Mbona hivi, naumia

Sina hofu na nilivyoanza Ninawaza nitamalizaje Ulificha mambo mambo ya kesho Ya kesho nipe mwisho mzuri

Naomba niombee Na mi niwe mtu mwema Nimpendeze Mungu na watu Niwe wako bwana milele

Naomba niombee Rafiki niombee Na moyo unauma Mbona hivi, naumia

Sipendi nikosee Na moyo uumie Yaiteni mapito Mbona hivi, naumia

Naomba niombee Rafiki niombee Na moyo unauma Mbona hivi, naumia

Sipendi nikosee Na moyo uumie Yaiteni mapito Mbona hivi, naumia

Video

NIOMBEE by Japhet Zabron-Official Video.

Thumbnail for Niombee video
Loading...
In Queue
View Lyrics