Japhet Zabron - Niombee Lyrics
Lyrics
Kwa hisi anaona Nikifumba macho yangu Tena tena mazuri mengi Mungu aniwazia
Ya njiani yananitisha Hata hunirudisha nyuma Namkosea Mungu na watu Hainifurahishi kabisa
Naomba niombee Rafiki niombee Na moyo unauma Mbona hivi, naumia
Sipendi nikosee Na moyo uumie Yaiteni mapito Mbona hivi, naumia
Sina hofu na nilivyoanza Ninawaza nitamalizaje Ulificha mambo mambo ya kesho Ya kesho nipe mwisho mzuri
Naomba niombee Na mi niwe mtu mwema Nimpendeze Mungu na watu Niwe wako bwana milele
Naomba niombee Rafiki niombee Na moyo unauma Mbona hivi, naumia
Sipendi nikosee Na moyo uumie Yaiteni mapito Mbona hivi, naumia
Naomba niombee Rafiki niombee Na moyo unauma Mbona hivi, naumia
Sipendi nikosee Na moyo uumie Yaiteni mapito Mbona hivi, naumia
Video
NIOMBEE by Japhet Zabron-Official Video.