Sioshwi dhambi zangu, Bila damu yake Yesu.
Hapendezewi Mungu, Bila damu yake Yesu.
Hakuna kabisa Dawa ya makosa
Ya kututakasa,Ila damu yake Yesu.
La kunisafi sina Ila damu yake Yesu.
Wala udhuru tena, Ila damu yake Yesu.
Hakuna kabisa Dawa ya makosa
Ya kututakasa,Ila damu yake Yesu.
Sipati pataniswa, Bila damu yake Yesu.
Hukumu yanitisha, Bila damu yake Yesu.
Hakuna kabisa Dawa ya makosa
Ya kututakasa,Ila damu yake Yesu.
Sipati tumaini, Bila damu yake Yesu.
Wema wala amani, Bila damu yake Yesu.
Hakuna kabisa Dawa ya makosa
Ya kututakasa,Ila damu yake Yesu.
Yashinda ulimwengu, Hiyo damu yake Yesu.
Na kutufikisha juu, Hiyo damu yake Yesu.
Hakuna kabisa Dawa ya makosa
Ya kututakasa,Ila damu yake Yesu.
Write a review/comment/correct the lyrics of Hakuna Kabisa Dawa Ya Makosa :
but with precious blood, as of a lamb without spot, `even the blood' of Christ:
1st John 1 : 7but if we walk in the light, as he is in the light, we have fellowship one with another, and the blood of Jesus his Son cleanseth us from all sin.