Bella kombo - Mshindi Lyrics

Lyrics

Amka mkajivike nguvu Eeh Sayuni mtumishi wangu Nimekuita kwa jina lako Utimize kusudi langu 

Kuwafungua waliofungwa ooh Na mateka uhuru wao Ndio Bwana nitaenda Ndio Bwana nitafanya

Naujua wito wangu Kusudi lako ili utimize Sitikishwi na majaribu Aliyeanzisha atamaliza 

Naujua wito wangu Kusudi lako ili utimize Sitikishwi na majaribu Aliyeanzisha atamaliza 

Naujua wito wangu Kusudi lako ili utimize Sitikishwi na majaribu Aliyeanzisha atamaliza 

Naujua wito wangu Kusudi lako ili utimize Sitikishwi na majaribu Aliyeanzisha atamaliza 

Nijapopita kwenye uoga Kwenye maji mengi Naimarika kwa nguvu zako  Wanitega imani

Hutaniacha mpaka nifike Hutaniacha niaibike

Kwenye giza ukafanyika mwanga Baharini ukafanyika njia Na yule tubu ukanipa ushindi Na kwenye makano ya seba nikatoka salama

Na jagwani ukafanya kisima Kile kisima, kisima cha uzima Na milango ya gereza ikafunguka  Nami nikawa huru, huru kweli kweli

Nimeiona haki ya utukufu Jina jipya ni mshindi Ni mshindi, mimi ni mshindi Ni mshindi, mimi ni mshindi daima

Naiona haki ya utukufu Jina jipya ni mshindi Ni mshindi, mimi ni mshindi Ni mshindi, ni mshindi daima

Naiona haki ya utukufu Jina jipya ni mshindi Ni mshindi, ni mshindi Ni mshindi daima

Naiona haki ya utukufu Jina jipya ni mshindi Ni mshindi, ni mshindi Ni mshindi daima

Walioshindana nawe wataaibika Wanaoshindana nawe wataanguka mbele yako Asema Bwana, asema Bwana

Naiona haki ya utukufu Jina jipya ni mshindi Ni mshindi, ni mshindi Ni mshindi daima

Naiona haki ya utukufu Jina jipya ni mshindi Ni mshindi, ni mshindi Ni mshindi daima

Ni mshindi, ni mshindi Ni mshindi, ni mshindi Ni mshindi daima

Ni mshindi, ni mshindi Ni mshindi, ni mshindi Ni mshindi daima

Video

Bella Kombo - Mshindi (Official Music Video 4k)

Thumbnail for Mshindi video
Loading...
In Queue
View Lyrics