Bella kombo - Mshindi Lyrics
Lyrics
Amka mkajivike nguvu Eeh Sayuni mtumishi wangu Nimekuita kwa jina lako Utimize kusudi langu
Kuwafungua waliofungwa ooh Na mateka uhuru wao Ndio Bwana nitaenda Ndio Bwana nitafanya
Naujua wito wangu Kusudi lako ili utimize Sitikishwi na majaribu Aliyeanzisha atamaliza
Naujua wito wangu Kusudi lako ili utimize Sitikishwi na majaribu Aliyeanzisha atamaliza
Naujua wito wangu Kusudi lako ili utimize Sitikishwi na majaribu Aliyeanzisha atamaliza
Naujua wito wangu Kusudi lako ili utimize Sitikishwi na majaribu Aliyeanzisha atamaliza
Nijapopita kwenye uoga Kwenye maji mengi Naimarika kwa nguvu zako Wanitega imani
Hutaniacha mpaka nifike Hutaniacha niaibike
Kwenye giza ukafanyika mwanga Baharini ukafanyika njia Na yule tubu ukanipa ushindi Na kwenye makano ya seba nikatoka salama
Na jagwani ukafanya kisima Kile kisima, kisima cha uzima Na milango ya gereza ikafunguka Nami nikawa huru, huru kweli kweli
Nimeiona haki ya utukufu Jina jipya ni mshindi Ni mshindi, mimi ni mshindi Ni mshindi, mimi ni mshindi daima
Naiona haki ya utukufu Jina jipya ni mshindi Ni mshindi, mimi ni mshindi Ni mshindi, ni mshindi daima
Naiona haki ya utukufu Jina jipya ni mshindi Ni mshindi, ni mshindi Ni mshindi daima
Naiona haki ya utukufu Jina jipya ni mshindi Ni mshindi, ni mshindi Ni mshindi daima
Walioshindana nawe wataaibika Wanaoshindana nawe wataanguka mbele yako Asema Bwana, asema Bwana
Naiona haki ya utukufu Jina jipya ni mshindi Ni mshindi, ni mshindi Ni mshindi daima
Naiona haki ya utukufu Jina jipya ni mshindi Ni mshindi, ni mshindi Ni mshindi daima
Ni mshindi, ni mshindi Ni mshindi, ni mshindi Ni mshindi daima
Ni mshindi, ni mshindi Ni mshindi, ni mshindi Ni mshindi daima
Video
Bella Kombo - Mshindi (Official Music Video 4k)