Bella kombo - Baba Lyrics

Baba Lyrics

Eeeeeeee
Eeeeee
Baba ye oyaa yaa
Nilipotoka Ni mbali 
Wala Sitatafakari  
Sitakumbuka ya kale kalee

Unafanya Jambo jipya
Ata Sasa linachipuka
Na machozi kunifuta Yahweh 
Ooooh baba Oooh
Baba eeeeh Baba oooo

Ukanifunza kukusifu
Mchana na Usiku
Na majeraha yangu Baba ukaitibu
Kama vile Mtoto hutoka kwa mama
Ndivyo Baba unavyonibembeleza
Nasema Asante

Asante Baba kwa kuniwazia Mema
Asante Baba unaniwazia Mema
Shukurani shukurani
Kwa msalaba na damu na maji ukanifanya kuwa mwana
Umeniweka juu ya yote juu ya mwamba

Kwenye Giza Mimi naangaza 
Oooooh Baba ooooh
Baba ooooh Baba eeeeee
Mamlaka mbele ya adui zangu 
Ushindi mbele ya adui zangu 

Eti Kama mboo Ni la jicho lako
Utachota naye anayechota nami
Umenipa kila kitu ata uzima wa milele
Asante Baba kwa kuniwazia Mema

Shukurani shukurani shukurani
You are worthy to be praised 
Asante Baba kwa kuniwazia Mema aaeee 
Shukurani shukurani shukurani


Baba Video

Bella kombo Songs

Related Songs