Bella kombo - Baba Lyrics

Lyrics

Eeeeeeee Eeeeee Baba ye oyaa yaa Nilipotoka Ni mbali  Wala Sitatafakari   Sitakumbuka ya kale kalee

Unafanya Jambo jipya Ata Sasa linachipuka Na machozi kunifuta Yahweh  Ooooh baba Oooh Baba eeeeh Baba oooo

Ukanifunza kukusifu Mchana na Usiku Na majeraha yangu Baba ukaitibu Kama vile Mtoto hutoka kwa mama Ndivyo Baba unavyonibembeleza Nasema Asante

Asante Baba kwa kuniwazia Mema Asante Baba unaniwazia Mema Shukurani shukurani Kwa msalaba na damu na maji ukanifanya kuwa mwana Umeniweka juu ya yote juu ya mwamba

Kwenye Giza Mimi naangaza  Oooooh Baba ooooh Baba ooooh Baba eeeeee Mamlaka mbele ya adui zangu  Ushindi mbele ya adui zangu 

Eti Kama mboo Ni la jicho lako Utachota naye anayechota nami Umenipa kila kitu ata uzima wa milele Asante Baba kwa kuniwazia Mema

Shukurani shukurani shukurani You are worthy to be praised  Asante Baba kwa kuniwazia Mema aaeee  Shukurani shukurani shukurani

Video

Bella Kombo - Baba (Official music video)

Thumbnail for Baba video
Loading...
In Queue
View Lyrics