Christina Shusho - Hakuna Rafiki Kama Yesu Lyrics

Hakuna Rafiki Kama Yesu Lyrics

Hakuna rafiki kama Yesu 
Yu pekee, Yu Pekee 

Hakuna rafiki kama Yesu 
Yu pekee, Yu Pekee 

Yesu ajua shida zetu 
Aweza kutuongoza 
Hakuna rafiki kama Yesu 
Yu pekee, Yu pekee

Extracted from Tenzi za rohoni Hymn 44
1
Hakuna rafiki kama Yesu, hakuna, hakuna,
Tabibu mwingine wa rohoni, hakuna, hakuna.

CHORUS:
Yesu ajua shida zetu, daima ataongoza,
Hakuna rafiki kama Yesu, hakuna, hakuna,

2
Wakati ambapo hapo yeye, hapana, hapana,
Wala giza kututenga naye, hapana, hapana.
3
Aliyesahauliwa naye, hakuna, hakuna,
Mkosaji asiyempenda, hakuna, hakuna.
4
Kipawa kama Mwokozi wetu, hakuna, hakuna,
Ambaye atanyimwa wokovu, hakuna hakuna.


Hakuna Rafiki Kama Yesu Video

Hakuna Rafiki Kama Yesu Lyrics -  Christina Shusho

Christina Shusho Songs

Related Songs