Natasha Lisimo - Ninataka Kuingia Lyrics

Lyrics

Ninataka... Ninataka kuingia Mjini mwa Mungu Nitashinda Nitakaza mwendo nifike Nikishikwa na shida Nikichoka njiani Yesu unaniambia uningojee

Naitwa na Yesu Kristo Enzini mwake (hmmm) Nakimbia kukawia hakuna faida Babaa Wote wachelewao Hawatapata taji Mimi sitaki kingine Ila uzima

Hmmm Nataka niingie Bwana Mmh Bwana Yesu, Hmmmm

Elekeza macho Yangu Langoni pako, hmm Nipe nguvu niongoze ninapochoka Yesu ! Ninapojaribiwa Ninaposingiziwa Hoo Yesu Unisaidie Nisikuaachee Mkono wako unishike Nisianguke Najiona kuwa mnyonge Nguvu i kwako Babaa !

Neno Lako eh Yesu Linanipa uzima     Eeh nikifika nitaimba unmeniponya

 

 

Video

Natasha Lisimo - Ninataka Kuingia (Lyrics)

Thumbnail for Ninataka Kuingia video
Loading...
In Queue
View Lyrics