Natasha Lisimo - Ninataka Kuingia Lyrics
Lyrics
Ninataka... Ninataka kuingia Mjini mwa Mungu Nitashinda Nitakaza mwendo nifike Nikishikwa na shida Nikichoka njiani Yesu unaniambia uningojee
Naitwa na Yesu Kristo Enzini mwake (hmmm) Nakimbia kukawia hakuna faida Babaa Wote wachelewao Hawatapata taji Mimi sitaki kingine Ila uzima
Hmmm Nataka niingie Bwana Mmh Bwana Yesu, Hmmmm
Elekeza macho Yangu Langoni pako, hmm Nipe nguvu niongoze ninapochoka Yesu ! Ninapojaribiwa Ninaposingiziwa Hoo Yesu Unisaidie Nisikuaachee Mkono wako unishike Nisianguke Najiona kuwa mnyonge Nguvu i kwako Babaa !
Neno Lako eh Yesu Linanipa uzima Eeh nikifika nitaimba unmeniponya
Video
Natasha Lisimo - Ninataka Kuingia (Lyrics)