Natasha Lisimo - Ninataka Kuingia Lyrics

Contents:

Ninataka Kuingia Lyrics

Ninataka...
Ninataka kuingia
Mjini mwa Mungu
Nitashinda
Nitakaza mwendo nifike
Nikishikwa na shida
Nikichoka njiani
Yesu unaniambia uningojee

Naitwa na Yesu Kristo
Enzini mwake (hmmm)
Nakimbia kukawia hakuna faida
Babaa
Wote wachelewao
Hawatapata taji
Mimi sitaki kingine
Ila uzima

Hmmm Nataka niingie Bwana
Mmh Bwana Yesu, Hmmmm

Elekeza macho Yangu
Langoni pako, hmm
Nipe nguvu niongoze ninapochoka
Yesu ! Ninapojaribiwa
Ninaposingiziwa
Hoo Yesu Unisaidie
Nisikuaachee
Mkono wako unishike
Nisianguke
Najiona kuwa mnyonge
Nguvu i kwako
Babaa !

Neno Lako eh Yesu
Linanipa uzima    
Eeh nikifika nitaimba unmeniponya

 

 


Natasha Lisimo Songs

Related Songs