Natasha Lisimo - Umeniona Lyrics
Lyrics
Mungu umenihurumia Baba umenihurumia Yesu umenihurumia Baba umenihurumia
Nakumbuka maumivu Nakumbuka na machozi Ulionifuta wewe Nilivyosetwa na watesi wangu
Asante kwa ujasiri Nashukuru kwa amani Yesu Uliyoweka moyoni Nilivyotingwa na ya walimwegu
Aibu, aibu, aibu Fedheha fedheha, fedheha Umeniondolea aibu Sijui nikulipeje? Ooh Bwana
Aaah, umeniona nami, umeniona na mimi Ehee, umeniona nami, umeniona na mimi Aaah, umeniona nami, umeniona na mimi Ehee, umeniona nami, umeniona na mimi
Wala sikuwa dhamani Kama nilivyoonekana Na nilishachoka Kuendelea tena mbele
Siri yangu yote Ukaijua wewe Bwana Nawaza kama angelijua mwengine Angeshatangaza je?
Nashukuru kwa kuniondolea aibu Sijui nikulipeje? Ooh kama je, isingekuwa huruma yako Angenipendaga nani? Yaani we, isingekuwa rehema zako Ningekumbukwa na nani?
Ah tumaini langu ni wewe Toka siku zile Msaada wangu ni wewe Toka siku zile
Ooh kimbilio langu ni wewe Toka siku zile Msaada wangu wa mwisho ni wewe Yesu Toka siku zile
Aaah, umeniona nami, umeniona na mimi Ehee, umeniona nami, umeniona na mimi Aaah, umeniona nami, umeniona na mimi Ehee, umeniona nami, umeniona na mimi
Umeniona, umeniona na mimi Na mimi iyee iyee
Umenilipia deni la aibu Umeniponya yote tabibu Nini tena hujafanya mwalimu Oooh asante, ooh
Umenilipia deni la aibu Umeniponya yote tabibu Nini tena hujafanya mwalimu Oooh asante, ooh
Video
NATASHA- UMENIONA- (OFFICIAL VIDEO)