Sifa Lyrics

Umeniona by Natasha Lisimo cover art

Natasha Lisimo - Umeniona Lyrics

Artist:
Natasha Lisimo

Lyrics

Mungu umenihurumia
Baba umenihurumia
Yesu umenihurumia
Baba umenihurumia


Nakumbuka maumivu
Nakumbuka na machozi
Ulionifuta wewe
Nilivyosetwa na watesi wangu


Asante kwa ujasiri
Nashukuru kwa amani Yesu
Uliyoweka moyoni 
Nilivyotingwa na ya walimwegu


Aibu, aibu, aibu
Fedheha fedheha, fedheha
Umeniondolea aibu
Sijui nikulipeje? Ooh Bwana


Aaah, umeniona nami, umeniona na mimi
Ehee, umeniona nami, umeniona na mimi
Aaah, umeniona nami, umeniona na mimi
Ehee, umeniona nami, umeniona na mimi


Wala sikuwa dhamani
Kama nilivyoonekana
Na nilishachoka 
Kuendelea tena mbele


Siri yangu yote 
Ukaijua wewe Bwana
Nawaza kama angelijua mwengine
Angeshatangaza je?


Nashukuru kwa kuniondolea aibu
Sijui nikulipeje?
Ooh kama je, isingekuwa huruma yako
Angenipendaga nani? 
Yaani we, isingekuwa rehema zako 
Ningekumbukwa na nani?


Ah tumaini langu ni wewe
Toka siku zile
Msaada wangu ni wewe
Toka siku zile


Ooh kimbilio langu ni wewe
Toka siku zile
Msaada wangu wa mwisho ni wewe Yesu
Toka siku zile


Aaah, umeniona nami, umeniona na mimi
Ehee, umeniona nami, umeniona na mimi
Aaah, umeniona nami, umeniona na mimi
Ehee, umeniona nami, umeniona na mimi


Umeniona, umeniona na mimi
Na mimi iyee iyee


Umenilipia deni la aibu
Umeniponya yote tabibu
Nini tena hujafanya mwalimu
Oooh asante, ooh


Umenilipia deni la aibu
Umeniponya yote tabibu
Nini tena hujafanya mwalimu
Oooh asante, ooh


Video