Natasha Lisimo - Umeniona Lyrics

Lyrics

Mungu umenihurumia Baba umenihurumia Yesu umenihurumia Baba umenihurumia

Nakumbuka maumivu Nakumbuka na machozi Ulionifuta wewe Nilivyosetwa na watesi wangu

Asante kwa ujasiri Nashukuru kwa amani Yesu Uliyoweka moyoni  Nilivyotingwa na ya walimwegu

Aibu, aibu, aibu Fedheha fedheha, fedheha Umeniondolea aibu Sijui nikulipeje? Ooh Bwana

Aaah, umeniona nami, umeniona na mimi Ehee, umeniona nami, umeniona na mimi Aaah, umeniona nami, umeniona na mimi Ehee, umeniona nami, umeniona na mimi

Wala sikuwa dhamani Kama nilivyoonekana Na nilishachoka  Kuendelea tena mbele

Siri yangu yote  Ukaijua wewe Bwana Nawaza kama angelijua mwengine Angeshatangaza je?

Nashukuru kwa kuniondolea aibu Sijui nikulipeje? Ooh kama je, isingekuwa huruma yako Angenipendaga nani?  Yaani we, isingekuwa rehema zako  Ningekumbukwa na nani?

Ah tumaini langu ni wewe Toka siku zile Msaada wangu ni wewe Toka siku zile

Ooh kimbilio langu ni wewe Toka siku zile Msaada wangu wa mwisho ni wewe Yesu Toka siku zile

Aaah, umeniona nami, umeniona na mimi Ehee, umeniona nami, umeniona na mimi Aaah, umeniona nami, umeniona na mimi Ehee, umeniona nami, umeniona na mimi

Umeniona, umeniona na mimi Na mimi iyee iyee

Umenilipia deni la aibu Umeniponya yote tabibu Nini tena hujafanya mwalimu Oooh asante, ooh

Umenilipia deni la aibu Umeniponya yote tabibu Nini tena hujafanya mwalimu Oooh asante, ooh

Video

NATASHA- UMENIONA- (OFFICIAL VIDEO)

Thumbnail for Umeniona video
Loading...
In Queue
View Lyrics