Christina Shusho - Mifupa Mikavu - Nakutabiria Lyrics

Lyrics

Ezekieli akiwa katika roho, Bwana akamweka chini, katika bonde nalo limejaa mifupa Kamwambia Ezekieli je mifupa yaweza kuishi? Naye akajibu eeh Bwana wajua wewe
Bwana akamwambia tabiri ju ya mifupa hii Enyi mifupa lisikie neno la Bwana

Mifupa mikavu nakutabiria ee ee eh Kwa jina la Yesu uwe Hai Tena aah Mifupa mikavu nakutabiria ee ee eh Kwa jina la Yesu uwe Hai Tena aah

Tabiri kwa uwepo na mwili Roho wa Mungu aiweke dhahiri Kwa wanadamu walio na * Kwa Mungu aliye na jeshi moja shupavu Kuna wengi wetu tunapambana ng'angana Maisha yetu ngumu zaidi ya janga ***missing line *** Position yetu in Christ more than victorious Healthy, wealthy and righteous, Maindiko inasema sisi waridhi wa ufalme
Hautakufa utaishi na kusimulia wema wa Bwana

Mifupa mikavu nakutabiria ee ee eh Kwa jina la Yesu uwe Hai Tena aah Mifupa mikavu nakutabiria ee ee eh Kwa jina la Yesu uwe Hai Tena aah

Natabiri ju afya yako, natabiri ju ya kazi yako Vilivyo kufa viwe hai, viwe hai tena Natabiria ndoa yako, natabiria watoto wako Vilivyo kufa viwe hai viwe hai tena Hautakufa utaishi na usimulie mema ya Bwana Vilivyo kufa viwe hai viwe hai tena

Mifupa mikavu nakutabiria ee ee eh Kwa jina la Yesu uwe Hai Tena aah Mifupa mikavu nakutabiria ee ee eh Kwa jina la Yesu uwe Hai Tena aah Mifupa mikavu nakutabiria Afrika Kwa jina la Yesu uwe Hai Tena aah Mifupa mikavu nakutabiria Tanzania Kwa jina la Yesu uwe Hai Tena aah

Video

Christina Shusho and Saint Stevoh - Mifupa Mikavu (SKIZA 1051719)

Thumbnail for Mifupa Mikavu - Nakutabiria video
Loading...
In Queue
View Lyrics