Christina Shusho - Mifupa Mikavu - Nakutabiria Lyrics
Lyrics
Ezekieli akiwa katika roho, Bwana akamweka chini,
katika bonde nalo limejaa mifupa
Kamwambia Ezekieli je mifupa yaweza kuishi?
Naye akajibu eeh Bwana wajua wewe
Bwana akamwambia tabiri ju ya mifupa hii
Enyi mifupa lisikie neno la Bwana
Mifupa mikavu nakutabiria ee ee eh Kwa jina la Yesu uwe Hai Tena aah Mifupa mikavu nakutabiria ee ee eh Kwa jina la Yesu uwe Hai Tena aah
Tabiri kwa uwepo na mwili
Roho wa Mungu aiweke dhahiri
Kwa wanadamu walio na *
Kwa Mungu aliye na jeshi moja shupavu
Kuna wengi wetu tunapambana ng'angana
Maisha yetu ngumu zaidi ya janga
***missing line ***
Position yetu in Christ more than victorious
Healthy, wealthy and righteous,
Maindiko inasema sisi waridhi wa ufalme
Hautakufa utaishi na kusimulia wema wa Bwana
Mifupa mikavu nakutabiria ee ee eh Kwa jina la Yesu uwe Hai Tena aah Mifupa mikavu nakutabiria ee ee eh Kwa jina la Yesu uwe Hai Tena aah
Natabiri ju afya yako, natabiri ju ya kazi yako Vilivyo kufa viwe hai, viwe hai tena Natabiria ndoa yako, natabiria watoto wako Vilivyo kufa viwe hai viwe hai tena Hautakufa utaishi na usimulie mema ya Bwana Vilivyo kufa viwe hai viwe hai tena
Mifupa mikavu nakutabiria ee ee eh Kwa jina la Yesu uwe Hai Tena aah Mifupa mikavu nakutabiria ee ee eh Kwa jina la Yesu uwe Hai Tena aah Mifupa mikavu nakutabiria Afrika Kwa jina la Yesu uwe Hai Tena aah Mifupa mikavu nakutabiria Tanzania Kwa jina la Yesu uwe Hai Tena aah
Video
Christina Shusho and Saint Stevoh - Mifupa Mikavu (SKIZA 1051719)