Mungu wa Ibrahimu ni mungu wetu leo,
mungu wa daniel ni mungu wetu pia habadiliki,
hafananishwi mungu wa isaka, anatimiza ahadi.
Timiza ahadi anatimiza ahadi
Timiza ahadi anatimiza ahadi
Mungu mwaminifu habadiliki kamwe
Yeye atatimiza
Wakati wake Mungu si kama binadamu
Na njia zake mungu ni njia kamilifu
Alivyoahidi baba atatenda
Alivyoahidi baba atatenda
Timiza ahadi anatimiza ahadi
Timiza ahadi anatimiza ahadi
Mungu mwaminifu, habadiliki kamwe
Yeye atatimiza
Yeye atatimiza
Yeye atatimiza
Write a review/comment/correct the lyrics of Anatimiza - Timiza Ahadi:
barikiwe sana Kambua you such a blessing continue inspring the generation be blessed
be blessed Kambua wa wimbo huu ur such a blessing 6 months ago
ubarikiwe tele tele ni wimbo unaojenga Imani sana 1 year ago
There failed not aught of any good thing which Jehovah had spoken unto the house of Israel; all came to pass.