Kambua - Bado Nasimama Lyrics
Lyrics
Bado nasimama, bado naendelea Bado najikaza, nifike kule
Bila nehema na rehema zako, ningekuwa wapi mimi Bila upendo, na fadhili zako, maisha yangu yangekuwa bure Kwa wema wako, kanisimamisha Na imani yangu, ukaiweka salama Kama si wewe, Mwamba wa wokovu wangu Nisingeweza. ningeangamia
Nainua macho yangu kwako wewe Baba yangu Msaada wangu utatoka wapi Msaada wangu u katika bwana Hasinzii anilindaye, haniachi mimi niteleze Anipa nguvu, na uwezo wake Ili mimi nifike kule Nifike kule
Bado nasimama, bado naendelea Bado najikaza, nifike kule (x6)
Still Standing
Video
Kambua - Bado Nasimama (Official Music Video)