Neema Lyrics - Kambua
Kambua swahili
Chorus:
Asante Yesu kwa neema yako
Wokovu nimepata bure
Asante Yesu kwa neema yako
Kukufa ningekufaa
Asante Yesu kwa neema yako
Kutupwa ningetupwa
Neema Video
Neema Lyrics
Ningekuwa jambo lakustahili sijui ningekuwa wapi
Ningekuwa sababu ya matendo sijui ningetupwa wapi
Ingekuwa kulingana na jina sijui ningeitwa nani
Ningeitwa marehemu
Ningeitwa mimi tasa
Ningeitwa aiyefaa
Asante Yesu kwa neema yako
Wokovu nimepata bure
Asante Yesu kwa neema yako
Kukufa ningekufaa
Asante Yesu kwa neema yako
Kutupwa ningetupwa
Jalalani ungenipata nikila uchafu
Msituni ungenikuta nikila majani
(rudia)
Mnyonge mimi wangenidharau tu
Dhaifu mimi wangenikanyaga tu
Sina nguvu mimi wangenimaliza tu
Ningetupwa kwenye tanuru la moto niangamie
Ningetupwa kwenye shimo la simba nifie huko
Jalalani ungenipata nikila mchafu
Msituni ungenikuta nikila majani
(rudia)
Asante Yesu kwa neema yako
Wokovu nimepata bure
Asante Yesu kwa neema yako
Kukufa ningekufaa
Asante Yesu kwa neema yako
Kutupwa ningetupwa
Jalalani ungenipata nikila uchafu
Msituni ungenikuta nikila majani
(rudia)
Ni kwa neema (Neema)
Neema (neema)
Asante kwa neema (neeema)
Naishi kwa neema (Neema)
Neema (neema) neema (neema)
Naishi kwa neema (Neema)
Neema (neema) neema (neema)
Ni kwa neema yako