Christina Shusho - napenda nione Lyrics
Lyrics
Napenda nione ukinitendea, Napenda nione ukinibariki Napenda nione ukiniinua, Kila kitu kwako mimi napenda Napenda nione ukiniponya, Napenda nione ukinifariji Napenda nione ukiniinua, Kila kitu kwako Bwana mimi napenda
Napenda nione ukinitendea, Napenda nione ukinibariki Napenda nione ukiniinua, Kila kitu kwako mimi napenda Napenda nione ukiniponya, Napenda nione ukinifariji Napenda nione ukiniinua, Kila kitu kwako Bwana mimi napenda
Napenda, Napenda
Kila kitu kwako mimi napenda
Napenda oh Napenda
Kila kitokacho kwako Napenda
Yesu eeh Mimi napenda
Mambo yako nayapenda
Napenda, Napenda
Kila kitu kwako mimi napenda
Napenda oh Napenda
Kila kitokacho kwako Napenda
Napenda neno lako, Napenda Hekima zako Napenda sifa zako Yesu, Kila kitu kwako mimi napenda Napenda hukumu zako, Napenda huruma zako Napenda rehema zako, Kila kitokacho kwako mimi napenda
Napenda neno lako, Napenda Hekima zako Napenda sifa zako Yesu, Kila kitokacho kwako napenda Napenda hukumu zako, Napenda huruma zako Napenda rehema zako, Kila kitokacho kwako mimi napenda
Napenda, Napenda
Kila kitu kwako mimi napenda
Napenda oh Napenda
Kila kitokacho kwako Napenda
Mfalme nakupenda
Habari zako nazipenda
Napenda, Napenda
Kila kitu kwako mimi napenda
Napenda oh Napenda
Kila kitokacho kwako Napenda
Napenda utawala wako, Napenda ahadi zako Napenda njia zako Yesu, Na mafundisho yako Na ukarimu wako,
Napenda, Napenda
Kila kitu kwako mimi napenda
Napenda oh Napenda
Kila kitokacho kwako Napenda
Napenda, Napenda
Kila kitu kwako mimi napenda
Napenda oh Napenda
Kila kitokacho kwako Napenda
Video
Geraldine Oduor ft. Christina Shusho - Napenda (Final Video)