Christina Shusho - napenda nione Lyrics

Lyrics

Napenda nione ukinitendea, Napenda nione ukinibariki Napenda nione ukiniinua, Kila kitu kwako mimi napenda Napenda nione ukiniponya, Napenda nione ukinifariji Napenda nione ukiniinua, Kila kitu kwako Bwana mimi napenda

Napenda nione ukinitendea, Napenda nione ukinibariki Napenda nione ukiniinua, Kila kitu kwako mimi napenda Napenda nione ukiniponya, Napenda nione ukinifariji Napenda nione ukiniinua, Kila kitu kwako Bwana mimi napenda

Napenda, Napenda Kila kitu kwako mimi napenda Napenda oh Napenda Kila kitokacho kwako Napenda Yesu eeh Mimi napenda Mambo yako nayapenda Napenda, Napenda
Kila kitu kwako mimi napenda Napenda oh Napenda Kila kitokacho kwako Napenda

Napenda neno lako, Napenda Hekima zako Napenda sifa zako Yesu, Kila kitu kwako mimi napenda Napenda hukumu zako, Napenda huruma zako Napenda rehema zako, Kila kitokacho kwako mimi napenda

Napenda neno lako, Napenda Hekima zako Napenda sifa zako Yesu, Kila kitokacho kwako napenda Napenda hukumu zako, Napenda huruma zako Napenda rehema zako, Kila kitokacho kwako mimi napenda

Napenda, Napenda Kila kitu kwako mimi napenda Napenda oh Napenda Kila kitokacho kwako Napenda Mfalme nakupenda Habari zako nazipenda Napenda, Napenda
Kila kitu kwako mimi napenda Napenda oh Napenda Kila kitokacho kwako Napenda

Napenda utawala wako, Napenda ahadi zako Napenda njia zako Yesu, Na mafundisho yako Na ukarimu wako,

Napenda, Napenda Kila kitu kwako mimi napenda Napenda oh Napenda Kila kitokacho kwako Napenda Napenda, Napenda
Kila kitu kwako mimi napenda Napenda oh Napenda Kila kitokacho kwako Napenda

Video

Geraldine Oduor ft. Christina Shusho - Napenda (Final Video)

Thumbnail for napenda nione video
Loading...
In Queue
View Lyrics