Jowie Irungu - Juu Lyrics
Lyrics
If i wake up tomorrow and i didn’t find me I loose it all, i loose it all Na niki pata mwanga wangu Umepotea , niko gizani Mi sifi moyo Si kufi moyo Cuz
Na angalia juu, Na tazamia juu , Juu sana Na anangalia juu Na mtazamia mungu Na angalia juu, Na tazamia juu , Juu sana Na anangalia juu Na mtazamia mungu
Tangu hapo jadi Umenipa amani Uka nivisha thamani Kwangu mimi Na tena huku jali Pale msalabani Ufaka jili (ya mimi) yeh!yeh!yeh!
Gongo lako na fimbo yako Vya nifariji mimi bwana Yu name, yu name bwana Gongo lako na fimbo yako Vya nifariji mimi bwana Yu name, yu name bwana
Na angalia juu, Juu juu juu Na tazamia juu, Juu juu juu Juu sana Na angalia juu , Juu juu juu Na matazamia mungu Yeah!yeah!yeah! Na angalia juu, Juu juu juu Na tazamia juu, Juu juu juu Juu sana Na angalia juu , Juu juu juu Na matazamia mungu
Izo baraka Zi come come, zi come come, zi come come, zi come come Wouh Shower your blessings All over the world Izo baraka Zi come come, zi come come, zi come come, zi come come Shower your blessings All over Kenya
Gongo lako na fimbo yako Vya nifariji mimi bwana Yu name, yu name bwana Gongo lako na fimbo yako Vya nifariji mimi bwana Yu name, yu name bwana
Na angalia juu, Juu juu juu Na tazamia juu, Juu juu juu Juu sana Na angalia juu , Juu juu juu Na matazamia mungu Yeah!yeah!yeah! Na angalia juu, Juu juu juu Na tazamia juu, Juu juu juu Juu sana Na angalia juu , Juu juu juu Na matazamia mungu
If i wake up tomorrow And i didn’t find me I loose it all, i loose it all Na niki pata mwanga wangu Umepotea , niko gizani Si kufi moyo Usife moyo Yei yei yeiii yeeaah !
Video
JOWIE IRUNGU - JUU (Official Video) SMS Skiza 5370330 to 811