Jowie Irungu - Juu Lyrics

Contents:

Juu Lyrics

If i wake up tomorrow and i didn’t find me
I loose it all, i loose it all
Na niki pata mwanga wangu 
Umepotea , niko gizani 
Mi sifi moyo
Si kufi moyo
Cuz 

Na angalia juu, Na tazamia juu , Juu sana 
Na anangalia juu
Na mtazamia mungu
Na angalia juu, Na tazamia juu , Juu sana 
Na anangalia juu
Na mtazamia mungu

Tangu hapo jadi
Umenipa amani 
Uka nivisha thamani 
Kwangu mimi
Na tena huku jali
Pale msalabani 
Ufaka jili  (ya mimi) yeh!yeh!yeh!

Gongo lako na fimbo yako 
Vya nifariji mimi bwana
Yu name, yu name bwana 
Gongo lako na fimbo yako 
Vya nifariji mimi bwana
Yu name, yu name bwana 

Na angalia juu, Juu juu juu
Na tazamia juu, Juu juu juu
Juu sana
Na angalia juu , Juu juu juu
Na matazamia mungu
Yeah!yeah!yeah!
Na angalia juu, Juu juu juu
Na tazamia juu, Juu juu juu
Juu sana
Na angalia juu , Juu juu juu
Na matazamia mungu

Izo baraka  
Zi come come, zi come come, zi come come, zi come come Wouh 
Shower your blessings
All over the world
Izo baraka 
Zi come come, zi come come, zi come come, zi come come
Shower your blessings 
All over Kenya 

Gongo lako na fimbo yako 
Vya nifariji mimi bwana
Yu name, yu name bwana 
Gongo lako na fimbo yako 
Vya nifariji mimi bwana
Yu name, yu name bwana 

Na angalia juu, Juu juu juu
Na tazamia juu, Juu juu juu
Juu sana
Na angalia juu , Juu juu juu
Na matazamia mungu
Yeah!yeah!yeah!
Na angalia juu, Juu juu juu
Na tazamia juu, Juu juu juu
Juu sana
Na angalia juu , Juu juu juu
Na matazamia mungu

If i wake up tomorrow 
And i didn’t find me
I loose it all, i loose it all
Na niki pata mwanga wangu 
Umepotea , niko gizani 
Si kufi moyo
Usife moyo
Yei yei yeiii yeeaah !


Jowie Irungu Songs

Related Songs