Jowie Irungu - Juu Lyrics

Lyrics

If i wake up tomorrow and i didn’t find me I loose it all, i loose it all Na niki pata mwanga wangu  Umepotea , niko gizani  Mi sifi moyo Si kufi moyo Cuz 

Na angalia juu, Na tazamia juu , Juu sana  Na anangalia juu Na mtazamia mungu Na angalia juu, Na tazamia juu , Juu sana  Na anangalia juu Na mtazamia mungu

Tangu hapo jadi Umenipa amani  Uka nivisha thamani  Kwangu mimi Na tena huku jali Pale msalabani  Ufaka jili  (ya mimi) yeh!yeh!yeh!

Gongo lako na fimbo yako  Vya nifariji mimi bwana Yu name, yu name bwana  Gongo lako na fimbo yako  Vya nifariji mimi bwana Yu name, yu name bwana 

Na angalia juu, Juu juu juu Na tazamia juu, Juu juu juu Juu sana Na angalia juu , Juu juu juu Na matazamia mungu Yeah!yeah!yeah! Na angalia juu, Juu juu juu Na tazamia juu, Juu juu juu Juu sana Na angalia juu , Juu juu juu Na matazamia mungu

Izo baraka   Zi come come, zi come come, zi come come, zi come come Wouh  Shower your blessings All over the world Izo baraka  Zi come come, zi come come, zi come come, zi come come Shower your blessings  All over Kenya 

Gongo lako na fimbo yako  Vya nifariji mimi bwana Yu name, yu name bwana  Gongo lako na fimbo yako  Vya nifariji mimi bwana Yu name, yu name bwana 

Na angalia juu, Juu juu juu Na tazamia juu, Juu juu juu Juu sana Na angalia juu , Juu juu juu Na matazamia mungu Yeah!yeah!yeah! Na angalia juu, Juu juu juu Na tazamia juu, Juu juu juu Juu sana Na angalia juu , Juu juu juu Na matazamia mungu

If i wake up tomorrow  And i didn’t find me I loose it all, i loose it all Na niki pata mwanga wangu  Umepotea , niko gizani  Si kufi moyo Usife moyo Yei yei yeiii yeeaah !

Video

JOWIE IRUNGU - JUU (Official Video) SMS Skiza 5370330 to 811

Thumbnail for Juu video
Loading...
In Queue
View Lyrics