Ewe Mungu wa majeshi, ninapenda kukaa nawe,
maskani zako zapendeza, nazikondea kwa shauku kubwa
Heri siku moja mbele zako, kuliko siku elfu mbali na wewe
Ee Bwana nguvu na msaada wangu nitakupenda daima.
Moyo na mwili wangu Bwana viakulilia Mungu wangu,
heri nikose viote Baba, lakini nikupate wewe
Heri siku moja mbele zako, kuliko siku elfu mbali na wewe
Ee Bwana nguvu na msaada wangu nitakupenda daima.
Heri siku moja mbele zako, kuliko siku elfu mbali na wewe
Ee Bwana nguvu na msaada wangu nitakupenda daima.
Write a review/comment/correct the lyrics of Heri Siku Moja:
Very encouraged song 1 year ago
For a day in thy courts is better than a thousand. I had rather be a doorkeeper in the house of my God, Than to dwell in the tents of wickedness.