Ambwene Mwasongwe - Neno La Kalvari Lyrics
Lyrics
Nakuhitaji, Bwana wangu Mimi niko wazi unisikilize Kama utapita njia hii Uje unione, nikuonyeshe mahali panapouma
Moyo wangu, wanaona shauku Eee Yesu Bwana wangu unirehemu Mwili wangu unaumwa kweli nimechoka Hatwa waoaniuguza nao wamenichoka
Maisha yangu yamekuwa gharama Kweli nakuhitaji wewe tu Usiniache peke yangu nita aibika
Linga kwisa, gwendepo pamyangu Nguhelepo simo isya munda myangu Lelo linga kukinda ungikindaga kimyeye Ujobhe ilisyu limo na une angusangaluka
Tata umbumbulusyege, umbumbulusyege Usyele gwimwene gwe mmanyani gwani Linga nakupalaga imbalo Jesu gwe mmanyani gwangu Nakukolelaga ingamu jako Natigi Jo ugwe Mwajesu
Enaa enaa enaa enaa Usyele gwimwene gwe mmanyani gwangu Enaa enaa enaa enaa Usyele gwimwene gwe mmanyani gwangu
Maji yakimwagika yasizoleke tena Nitakufuata wewe, uwezaye yazoa Upepo ukinivumia na kuniacha sina kitu Nitakukimbilia wewe uwezaye kuushika kwa konzi
Roho ikifa ndani yangu Nikabaki na mwili wa mnyama Nitasubiri neema yako Kisha nitazaliwa upya Ninaibariki kazi ya msalaba Ninaibariki kazi ya msalaba
Neno la Kalvari, neno la Kalvari Limeleta ushindi, neno la Kalvari Ninalibariki, ninalibariki Jina lako libarikiwe
Video
NENO LA KALVARI( video) AMBWENE MWASONGWE