Ambwene Mwasongwe - Tumekubalika Na Mungu Lyrics

Lyrics

Tumekubalika na Mungu Tuna nguvu za kifalme Ametuchora kwenye moyoni wake Utukuzao wa agano x2

Nguvu za uteule (aaaah) Uhadhi wa kifalme Taifa takatifu Watu wa miliki ya Mungu

Nimemuona Mungu amewaleta kutoka misri Kuwa na nguvu kama za kale Watawavunja adui mifupa vipande vipande Watawachoma adui kwa mishale

Eeeh bariki mali ya [?] Mungu kabariki nani wa kuwapinga? Wana nguvu aaah Mungu kawapa Wanawaweza (aaaah) Bwana kawapa Wanautishoa (aaaah) Bwana kawapa

Hatuwezi tishwa kwa maneno yao Nguvu zetu zipo kwa Bwana Tulipona kwa pharaoh Tukiwa ugenini hatukufa kwa njaa Tukiwa hatuna kitu tulinusurika vita Tukiwa hatuna silaha tulipona magonjwa Tukiwa hatuna dawa tulipona [?] Tuliweza maisha tukiwa hatuna hela Tulishinda upweke tukiwa tumeachwa Tuliponyoka kesi bila ya mtetezi

Mungu alikuwepo hatukuwa pekee yetu Waliotuonea ndio hawakujua Watoto wa misri tuna nguvu kama za nyati kuvunja vipande yaa yaa yaa yaaah

Tumekubalika na Mungu Tuna nguvu za kifalme Ametuchora kwenye moyoni wake Utukuzao wa agano

Tumekubalika na Mungu Tuna nguvu za kifalme Ametuchora kwenye moyoni wake Utukuzao wa agano ...

Usiyelala (aaa-aah)

Video

Ambwene Mwasongwe - Tumekubalika na Mungu(Official Music Video)

Thumbnail for Tumekubalika Na Mungu video

Meaning & Inspiration

It’s kind of wild to listen to this and think about how often we actually feel the opposite of what Ambwene is singing. He keeps going back to the idea that we are accepted, that we have this royal strength. It’s impossible not to hear the language of 1 Peter 2:9 in there, that bit about being a chosen people and a royal priesthood. When he sings about being engraved on God’s heart, it feels heavy and real, like Isaiah 49:16, where God says He’s carved His people on the palms of His hands. It’s comforting, sure, but then he pivots into this intense talk about crushing enemies and breaking bones like a buffalo. That’s where I start to feel a bit uneasy.

Is that really what it means to be chosen? He talks about escaping Pharaoh and surviving in the desert, linking our current struggles to the exodus. There is a lot of biblical history there, for sure. God definitely protected Israel, bringing them out of slavery, and there’s no denying that we believe in a God who fights for His own. But when the song gets into breaking the enemy’s bones, I find myself pausing. It feels more like the language of the Old Testament battles rather than the way Jesus taught us to handle those who oppose us. It makes me wonder if we’re pulling that ancient, militant authority into our own lives in a way that’s meant for spiritual warfare, or if we’re just getting a little too comfortable with the idea of crushing people we see as enemies.

Still, there’s this raw honesty about the desperation—surviving without money, making it through when you’ve been left behind, healing when there’s no medicine. That hits home. It acknowledges that the only reason we are standing is because God was there, not because we had the right resources or the right legal defense. It centers God as the provider in the middle of a mess. It’s just that shift from "God is our protector" to "we are going to break our enemies" that keeps spinning in my head. Are we really supposed to be that focused on the destruction of others, even if they are against us, or does that misplace the strength we’re supposed to have as people who belong to Him?

Loading...
In Queue
View Lyrics