Mungu wangu Mungu wa neno
Mungu wangu Mungu wa agano
Una kweli wewe ni ngao
Hautafeli na usemalo ndilo
Niongoze upendavyo
Nitembee juu ya maji
Nifinyange ni udongo
Nikujue zaidi na zaidi na zaidi
Imani yangu roho wa Mungu
Waniita nimesikia
Nakusongea we wanisongea oh
Ninakutafuta wewe wanitosha
Niongoze nitembee juu ya maji
Nifinyange ni udongo
Nikujue zaidi na zaidi na zaidi
Nikujue zaidi na zaidi na zaidi
Nikujue zaidi na zaidi na zaidi
Nikujue zaidi na zaidi na zaidi
Nizamishe ndani yako
Nipungue uongezeke
Nizamishe ndani yako
Nipungue nisionekane
Niongoze upendavyo
Nitembee juu ya maji
Nifinyange ni udongo
Nikujue zaidi na zaidi na zaidi
Write a review/comment/correct the lyrics of Zaidi Na Zaidi:
Am blessed allot.indeed uenice is a true worshiper ..that's song zaidi na zaidi wonderful song....when I sing it tears flows 2 years ago
In love with the worship thanks Eunice 2 years ago
He must increase, but I must decrease.
Psalms 25 : 5Guide me in thy truth, and teach me; For thou art the God of my salvation; For thee do I wait all the day.