Sifa Lyrics

Unaniona by Walter Chilambo cover art

Walter Chilambo - Unaniona Lyrics

Artist:
Walter Chilambo
Album:
Thank You Lord
Official Release:
30 Jan 2021

Lyrics

Kama Mungu angechagua watu wake 


Mimi singekuwepo duniani 


Kama Mungu angechagua watakatifu 


Mimi singekuwepo duniani 


Mimi binadamu wala si malaika 


Mengi ninakosea na kukuchukiza 


Ninafanya mambo yasiyostahili 


Nimevuruga-vuruga mipango yako 


Wanihurumia, 


Mbele ya macho ya wanadamu 


Nilikuwa nikijificha 


Kumbe wewe waniona 


Kwa Kujifanya (mtakatifu) tena (mkarimu) 


Nilikuwa (mnyenyekevu tena mpole sana) 


Kwa Kujifanya (mtakatifu) tena (mkarimu) 


Kwenye ibada (mnyenyekevu tena mpole sana)


Kumbe Mungu aniona, macho yako yanitazama 


Sikio lako lanisikia, siwezi jificha aah 


Kumbe Mungu aniona, macho yako yanitazama 


Sikio lako lanisikia, siwezi jificha aah 


Sasa nimetambua mbivu na mbichi ni zipi 


Sasa ninaelewa njia salama ni wapi 


Na nimejua bila ya wewe sifiki 


Hata nikila pasipo neno lako sishibi 


Neema yako (ila kwa neema yako) 


Upendo wako (ila kwa upendo wako) 


Na rehema zako zimenihimarisha tena 


Mbele ya macho ya wanadamu 


Nilikuwa nikijificha 


Kumbe wewe waniona 


Kwa Kujifanya (mtakatifu) tena (mkarimu) 


Nilikuwa (mnyenyekevu tena mpole sana) 


Kwa Kujifanya (mtakatifu) tena (mkarimu) 


Kwenye ibada (mnyenyekevu tena mpole sana) 


Kumbe Mungu aniona, macho yako yanitazama 


Sikio lako lanisikia, siwezi jificha aah 


Kumbe Mungu aniona, macho yako yanitazama 


Sikio lako lanisikia, siwezi jificha aah 


Video