Sifa Lyrics

Wanitosheleza by Annette Tenaya cover art

Annette Tenaya - Wanitosheleza Lyrics

Artist:
Annette Tenaya

Lyrics

Oh nimetafuta kila kona


Sijampata mmoja ambaye anitosheleza 


Oh mimi nimeonja sasa nimeona 


Ya kwamba wewe u mwema uwoooh 


Nilipocheka sababu ni furaha yako 


Nilipokwita Baba kanisikia 


Na sa nimetambua 


Wanitosheleza wanionyesha njia 


Huniachi nianguke Baba 


Wanipenda sana wanijali pia 


Nasema nakushukuru 


(rudia *2)


Oh upendo wako ni wa kweli (O


Upendo usio na kamba zilizofungwa hapa na pale 


Oh kanifia msalabani nilipokuwa kwa dhambi 


Na sasa niko huru uwooh 


Nilipocheka sababu ni furaha yako 


Nilipokwita Baba kanisikia 


Na sasa nimetambua 


Wanitosheleza wanionyesha njia 


Huniachi nianguke Baba 


Wanipenda sana wanijali pia 


Nasema nakushukuru 


I have tasted and now I see


There’s Lord you are so good to me


Wanitosheleza wewe ndiye mwanga wangu 


wanionyesha njia, mwaminifu tena sana 


Wanitosheleza, Nitakusifu wewe mile 


wanionyesha njia, Mpenzi wa roho yangu 


Nilipocheka sababu ni furaha yako 


Nilipokwita Baba kanisikia 


Na sa nimetambua 


Wanitosheleza wanionyesha njia 


Huniachi nianguke Baba 


Wanipenda sana wanijali pia 


Nasema nakushukuru 


Wanitosheleza wanionyesha njia ...


Video