Walter Chilambo - Najivunia Lyrics

Album: Thank You Lord
Released: 30 Jan 2021
iTunes Amazon Music

Lyrics

Ningekuwa na mali Magari ya kifari  Bila amani  Ninajivunia nini ? yeah

Pesa nyingi  Nyumba na biashara  Bila amani, yeah yeah 

Si mali kitu kama unaishi unalia ndani yako Kwa maumivu tena umeshikilia imani zako  Wamsahau mungu eti unajivuna ni nguvu zako na shule umesoma tena unajidanganya ni akili zako  Polee 

Duniani sipakujivunia jina Wala mavazi ya heshima Bali neno la uzima litatuongoza vyemaaa

Chorus: Mwezenu mimi jamanii Najivunia kuwa na yesu Vya dunia nimeviacha mbali Najivunia kuwa na Yeye

Yesuu  Pekee yake anasimama Najivunia kuwa na Yesu Mfalme wa wafalme Najivunia kuwa na yeye

Yeye ni mwalimu wa walimu  Ananifundisha vyema Yeye ni tabibu wa karibu Napata tiba njema 

Yeye ni dereva  Anazijua njia zangu baba wo yeye ndie Shujaa  Anishindia vita yangu baba wo 

Si mali kitu kama unaishi unalia ndani yako  Kwa maumivutena umeshikilia imani zako Wamsahau mungu eti unajivuna ni nguvu zako  Na shule umesoma tena unajidanganya ni akili zako Polee

Duniani si pakujivunia jina  Wala mavazi ya heshima  Bali neno la uzima litatuongoza vyema 

[Chorus]  Mwenzenu mimi jamani  Najivunia kuwa na yesu  Vya dunia nimeviacha mbali  Najivunia kuwa na yeye 

Yesu pekee yake anasimama  Najivunia kuwa na Yesu  Mfalme wa wafalme  Najivunia kuwa na Yesu 

Kwa mara hii mungu Aliupenda ulimwengu  Akamtoa mwanae wa pekee  Ili kila mtu a mwaminie asipotee  Bali awe na uzima wa milele 

Najivunia kuwa nae

Mwenzenu mimi jamani najivunia kuwa na Yesu Vya dunia nimeviacha mbali  Najivunia kuwa na yeye 

Yesu peke yake anasimama  Najivunia kuwa na yesu  Ninatembea kwa maringo Najivunia kuwa na yeye

Video

Walter Chilambo - Najivunia (Official Music Video) [For SKIZA Sms "Skiza 7634535" to 811]

Thumbnail for Najivunia video
Loading...
In Queue
View Lyrics