Esther Mbithi - Jambo Jipya Lyrics

Lyrics

Tazama mimi nitatenda jambo jipya

sasa litajipuka anasema bwana

nitafanya njia

jangwani 

na mito ya maji

nyikani


Tazama mimi nitatenda jambo jipya

sasa litajipuka anasema bwana

nitafanya njia

jangwani 

na mito ya maji

nyikani


Tazama mimi nitatenda jambo jipya

sasa litajipuka anasema bwana

nitafanya njia

jangwani 

na mito ya maji

nyikani


Umaskini shida mateso zimefika mwisho

ni wakati wa bwana mungu kutenda jambo jipya 

utaitwa mbarikiwa mambo yote yatabadilika

mambo ya zamani usiyatafakri tena


Tazama mimi nitatenda jambo jipya

sasa litajipuka anasema bwana

nitafanya njia

jangwani 

na mito ya maji

nyikani


Tazama mimi nitatenda jambo jipya

sasa litajipuka anasema bwana

nitafanya njia

jangwani 

na mito ya maji

nyikani


Mambo yote magumu kwako mwanadamu

bwana yesu anayaweza yote

kama alifanya mito ya amji nyikani

lipi sasa asiloliweza




kilio kimefika mwisho maa tangazo kwako ,sikia

maumivu yamefika baba tangazo kwako ,sikia

nasimama kwa uwezo wa roho mtakatifu nitangaze

uliye mgonjwa sasa natangaza uponyaji

uliye na maumivu natangaza yakome


uliye mgonjwa sasa natangaza uponyaji

uliye na maumivu natangaza yakome


kwa jina 

kwa jina 

kwa jina 

kwa jina 

jina la yesu



inua

inua

inua

inua yesu


Yesu juu

Yesu juu

shetani chini

Yesu juu

Yesu juu

magonjwa chini

Yesu juu

Yesu juu

uchawi chini


Nasema chini

chini kabisa

Video

Jambo Jipya By Esther Mbithi (Kaa chonjo)skiza *837*697#

Thumbnail for Jambo Jipya video
Loading...
In Queue
View Lyrics