Joel Lwaga - Nimebaki Nawe Lyrics
Lyrics
Dhoruba zilikuja na zikapita
Nyakati za huzuni na kutisha
Na mazuri yamekuja na yakapita
Nyakati za furaha na kucheka
Ila sikubadili ulivyo kwangu
Wala sikubadili nilivyo kwako
Umebaki mungu nyakati zote
Umebaki mungu majira yote
Umebaki mungu wa nyakati zote
Umebaki mungu
Wewe ni mungu wa hali zote
Na nyakati zote u mungu wangu
Wewe ni mungu nivipate vyote
Ata nikose u baba yangu
Wewe mungu nimebaki na wewe
Wewe mungu nimebaki na wewe
Wewe mungu nimebaki na wewe
Wewe mungu nimebaki na wewe
Ni nini kitanitenga na upendo wako
Hakuna
Hakuna
Hakuna
Je kushiba ama nikuona njaa
Je amani ama ni upanga
Je ni mauti ama uzima
Yalioko na yatakuja
Wewe ni mungu wa hali zote
Na nyakati zote u mungu wangu
Wewe ni mungu nivipate vyote
Ata nikose u baba yangu
Wewe ni mungu wa hali zote
Na nyakati zote u mungu wangu
Wewe ni mungu nivipate vyote
Ata nikose u baba yangu
Wewe ni mungu
Nimebaki na wewe
Wewe ni mungu
Nimebaki na wewe
Wewe ni mungu
Nimebaki na wewe
Nimebaki na wewe
Nimebaki na wewe
Nimebaki na wewe
Video
Joel Lwaga - Nimebaki Nawe (Acoustic Version)