Ghai Wewe waweza Baba Ghai Wewe waweza Baba Una nguvu Yesu una nguvu Una nguvu Yesu una nguvu
Waweza (waweza) Waweza Yesu
Wewe una matendo yako mema tumeonja Miujiza umetenda kweli tumeona Waliofungwa kweli uliwaweka huru (tumeonja) Asubuhi mchana na jioni tumeonja (Baba tumeonja) Baba nimeingia tumeona kwa macho
Waweza Yesu (Yesu waweza) Waweza waweza
Tumeona Baba ukitenda mema Tumeona Baba Miujiza yako ni mingi kwetu Tumeona Baba Tumeona Baba ukitukanya mioyo Tumeona Baba Nyakati za magamu ukitufuta machozi Tumeona Baba Nyakati za ukiwa umetukumbatia Kutushika mkono kweli hatuwezi Temeona
Bwana waweza Waweza, waweza Yesu Waweza, waweza Yesu Waweza, waweza Yesu