Peter Blessing - Fantastic Lyrics

Lyrics

Tazama kukinyesha kunanyesha kwote Hakujawai baki baki Na kama mwanga wa angaza kote Sio kwingine kuna taki

Kukuacha mimi kama ndoto  Fadhili zako za milele  Ulinipenda ningali mtoto Matendo yako yashangaza wewe

Wewe kwangu kama dawa  Nitakuimbia kama kawa Injili siionei haya Jukumu langu sitagwaya

You are fantastic, you are fantastic Unanipenda bure, fantastic You are fantastic Nasema You, fantastic, you are fantastic Unanipenda bure, fantastic You are fantastic

Kazi yako extra odinare Mapenzi yako kwangu ni attractive Matendo yako yanifanya nitafakari Hivi wanijua toka tumboni

Uliniokota nikiwa chini You are fantastic Ukanifanya kuwa mimi You are fantastic

Lord, Lord Lord nashangaa wanipa more more more More love Lord, Lord Lord nashangaa wanipa more more more More love

Wewe kwangu kama dawa  Nitakuimbia kama kawa Injili siionei haya Jukumu langu sitagwaya

You are fantastic, you are fantastic Unanipenda bure, fantastic You are fantastic Nasema You, fantastic, you are fantastic Unanipenda bure, fantastic You are fantastic

You are fantastic, you are fantastic Unanipenda bure, fantastic You are fantastic Nasema You, fantastic, you are fantastic Unanipenda bure, fantastic You are fantastic

Video

Peter Blessing x Benachi - Fantastic (Official Video)

Thumbnail for Fantastic video
Loading...
In Queue
View Lyrics