Peter Blessing - Fantastic Lyrics
Lyrics
Tazama kukinyesha kunanyesha kwote Hakujawai baki baki Na kama mwanga wa angaza kote Sio kwingine kuna taki
Kukuacha mimi kama ndoto Fadhili zako za milele Ulinipenda ningali mtoto Matendo yako yashangaza wewe
Wewe kwangu kama dawa Nitakuimbia kama kawa Injili siionei haya Jukumu langu sitagwaya
You are fantastic, you are fantastic Unanipenda bure, fantastic You are fantastic Nasema You, fantastic, you are fantastic Unanipenda bure, fantastic You are fantastic
Kazi yako extra odinare Mapenzi yako kwangu ni attractive Matendo yako yanifanya nitafakari Hivi wanijua toka tumboni
Uliniokota nikiwa chini You are fantastic Ukanifanya kuwa mimi You are fantastic
Lord, Lord Lord nashangaa wanipa more more more More love Lord, Lord Lord nashangaa wanipa more more more More love
Wewe kwangu kama dawa Nitakuimbia kama kawa Injili siionei haya Jukumu langu sitagwaya
You are fantastic, you are fantastic Unanipenda bure, fantastic You are fantastic Nasema You, fantastic, you are fantastic Unanipenda bure, fantastic You are fantastic
You are fantastic, you are fantastic Unanipenda bure, fantastic You are fantastic Nasema You, fantastic, you are fantastic Unanipenda bure, fantastic You are fantastic
Video
Peter Blessing x Benachi - Fantastic (Official Video)