Sifa Lyrics

Nasubiri Bado by Peter Blessing cover art

Peter Blessing - Nasubiri Bado Lyrics

Artist:
Peter Blessing

Lyrics

Kutwa nzima imepita nikiwa ata sina cha mfukoni 


Naumia hakika kwani ata marafiki nao siwaoni 


Kwenye wingu la giza sijapata ata faraja tumboni 


Koroboi ndo stima namweleza yule unayetoka moyoni 


Maisha haya kizunguzungu ni wapi tena sina pakutorokea 


Kwenye giza sioni nuru ni nini chanzo nabaki nikijiongelea 


Kama namwona mamangu uchochole ndio wimbo na ndo kikwazo 


Pekee yangu kwa hakika naangaziwa sana 


Machozi ndo yangu hata kunivika cha chini ndio langu pato 


Eeeh mola wangu eeeh eeh 


Mwenyezi mimi nasubiri bado (mwenyezi) 


Nasubiri bado (mwenyezi) 


Nasubiri bado nangoja kwako (mwenyezi) 


Nasubiri bado (mwenyezi) 


Nasubiri bado (mwenyezi) 


Nasubiri bado nangoja kwako (mwenyezi) 


Mbona mawazo yangu ndo hivo katu sichoki kufikiria 


Masikini moyo wangu 


Mzigo wangu ndo mzito sina ata wa kunisaidia 


Naja kwako mola wangu maumivu yangu yaokolee 


Toka zama sichoki kusota dili zangu zakutege 


Mara napata saa zingine nakosa nyumbani nategemewa 


Wamechoka wa kunikopesha wazidi niombea wasikate tamaa 


oooh ooh oooh 


Kama kufunga sio mwanzo ni mtindo mpaka nashindwa nini ndo chanzo 


Ndio maana nimeandika wimbo 


Matatizo yasiyokosa likizo kilio ndio yangu mtindo 


Ni maji yamefika kwa shingo aaih 


Kama namwona mamangu uchochole ndio wimbo na ndo kikwazo 


Pekee yangu kwa hakika naangaziwa sana 


Machozi ndo yangu hata kunivika cha chini ndio langu pato 


Eeeh mola wangu eeeh eeh 


Mwenyezi mimi nasubiri bado (mwenyezi) 


Nasubiri bado (mwenyezi) 


Nasubiri bado nangoja kwako (mwenyezi) 


Nasubiri bado (mwenyezi) 


Nasubiri bado (mwenyezi) 


Nasubiri bado nangoja kwako (mwenyezi) 


Kupambana kidume sichoki 


Sala zangu nitume sichoki 


Siwasikizi wengine sichoki 


Ipo siku ntapata


Video