Sifa Lyrics

Nitafika Tu by Bahati Bukuku + Maggie Muliri cover art

Bahati Bukuku + Maggie Muliri - Nitafika Tu Lyrics

Artist:
Bahati Bukuku + Maggie Muliri

Lyrics

Nina imani nitafika 


Jibu ni kufika 


Japo waonekana wasi wasi nitafika niendapo 


Jibu kwa moyo wangu nitafika eeh 


Natamani kuenda kule nionapo 


Nina shauku ya kutekeleza maono yangu eeh 


Lakini vikwazo ni vingi sana aah 


Lakini majaribu ni mengi sana 


Wa kunivunja moyo ni wengi njiani 


Faraoh na Jeshi lake hawataki kuniacha 


Jibu kwa moyo wangu nitafika 


Japo milima na mabonde nitafika 


Nitafika niendapo oooh 


Nahitaji neema yako Jehovah nifike niendapo 


Nahitaji msaada wako Baba nifike niendapo 


Naomba nishike mkono nifike niendapo 


Jibu kwa moyo wangu nitafika 


Bado nina pumzi tumaini langu lipo (nitafika tu) 


Pata leo kesho inakuja ooh (nitafika tu) 


Baada ya kesho mwezi ujao unakuja (nitafika tu) 


Najipa moyo mwaka kesho nitafaulu eeh (nitafika tu)


Hata kama jaribu lako lilikuwa gumu wewe (nitafika tu) 


Huruma ya Mungu imekutafuta leo (utafika tu) 


Hata kama mapito yalikuwa ni mengi kwako (utafika tu) 


Wema wa Mungu umekutafuta leo (utafika tu) 


Ni kufika ni kufika weeee (utafika tu) 


Ni kufika ni kufika weeee (utafika tu) 


Hata usiku uwe mrefu kutakucha 


Hata giza liwe kubwa nuru itatokea 


Jibu la maisha yako ipo leo 


Hata safari iwe na vikwazo utafika 


Hata jaribu liwe nzito utavuka 


Jibu la maisha yako ipo leo 


Unamkumbuka Sarah alipata mtoto uzeeni 


Unamkumbuka Anna mpaka alitengwa oo ooh 


Kumbe tumboni mwake amembeba Samweli 


Neema ya Mungu bado iko nawe 


Yamkini huduma yako imebeba vitu vingi 


Hata akijaliwa kubwa neema nayo ipo 


Neema ya Mungu bado iko nawe 


Hata maji yawe marefu bado kuna ukingo wake 


Neema ya Mungu bado iko nawe 


Huruma ya Mungu bado inakutafuta aah 


Ukaishi sana bila mafanikio ooh (utafika tu) 


Haijalishi shida vikwazo safarini (nitafika tu) 


Sijali wangapi wananikatisha tamaa (nitafika tu) 


Wala sitajali mazingira ninayoyapitia (nitafika tu) 


Hata kama jaribu lako lilikuwa gumu wewe (utafika tu)


Huruma ya Mungu imekutafuta leo (utafika tu) 


Hata kama mapito yalikuwa ni mengi kwako (utafika tu) 


Wema wa Mungu umekutafuta leo (utafika tu) 


Ni kufika ni kufika weeee (utafika tu) 


Ni kufika ni kufika weeee (utafika tu) 


Video