Maggie Muliri + Bahati Bukuku - Nitafika Tu Lyrics
Lyrics
Nina imani nitafika
Jibu ni kufika
Japo waonekana wasi wasi nitafika niendapo
Jibu kwa moyo wangu nitafika eeh
Natamani kuenda kule nionapo
Nina shauku ya kutekeleza maono yangu eeh
Lakini vikwazo ni vingi sana aah
Lakini majaribu ni mengi sana
Wa kunivunja moyo ni wengi njiani
Faraoh na Jeshi lake hawataki kuniacha
Jibu kwa moyo wangu nitafika
Japo milima na mabonde nitafika
Nitafika niendapo oooh
Nahitaji neema yako Jehovah nifike niendapo
Nahitaji msaada wako Baba nifike niendapo
Naomba nishike mkono nifike niendapo
Jibu kwa moyo wangu nitafika
Bado nina pumzi tumaini langu lipo (nitafika tu)
Pata leo kesho inakuja ooh (nitafika tu)
Baada ya kesho mwezi ujao unakuja (nitafika tu)
Najipa moyo mwaka kesho nitafaulu eeh (nitafika tu)
Hata kama jaribu lako lilikuwa gumu wewe (nitafika tu)
Huruma ya Mungu imekutafuta leo (utafika tu)
Hata kama mapito yalikuwa ni mengi kwako (utafika tu)
Wema wa Mungu umekutafuta leo (utafika tu)
Ni kufika ni kufika weeee (utafika tu)
Ni kufika ni kufika weeee (utafika tu)
Hata usiku uwe mrefu kutakucha
Hata giza liwe kubwa nuru itatokea
Jibu la maisha yako ipo leo
Hata safari iwe na vikwazo utafika
Hata jaribu liwe nzito utavuka
Jibu la maisha yako ipo leo
Unamkumbuka Sarah alipata mtoto uzeeni
Unamkumbuka Anna mpaka alitengwa oo ooh
Kumbe tumboni mwake amembeba Samweli
Neema ya Mungu bado iko nawe
Yamkini huduma yako imebeba vitu vingi
Hata akijaliwa kubwa neema nayo ipo
Neema ya Mungu bado iko nawe
Hata maji yawe marefu bado kuna ukingo wake
Neema ya Mungu bado iko nawe
Huruma ya Mungu bado inakutafuta aah
Ukaishi sana bila mafanikio ooh (utafika tu)
Haijalishi shida vikwazo safarini (nitafika tu)
Sijali wangapi wananikatisha tamaa (nitafika tu)
Wala sitajali mazingira ninayoyapitia (nitafika tu)
Hata kama jaribu lako lilikuwa gumu wewe (utafika tu)
Huruma ya Mungu imekutafuta leo (utafika tu)
Hata kama mapito yalikuwa ni mengi kwako (utafika tu)
Wema wa Mungu umekutafuta leo (utafika tu)
Ni kufika ni kufika weeee (utafika tu)
Ni kufika ni kufika weeee (utafika tu)
Video
Maggie Muliri Ft Bahati Bukuku - Nitafika Tu (Official Video)
Meaning & Inspiration
The song "Nitafika Tu" by Maggie Muliri and Bahati Bukuku is a powerful Swahili gospel song that resonates deeply with believers. The song's title can be translated to mean "I will make it" or "I will reach there." It is a song of hope, perseverance, and unwavering faith in the face of challenges.
1. The Meaning of "Nitafika Tu":
The song "Nitafika Tu" speaks to the determination and unwavering faith of the believer. It encourages individuals to hold onto their dreams, despite the obstacles they may face. The lyrics convey the message that with God's help, one can overcome any challenges and fulfill their purpose. Each verse emphasizes the need for divine intervention and highlights the journey of faith as believers strive to reach their destination.
2. The Inspiration Behind the Song:
The artists, Maggie Muliri and Bahati Bukuku, have crafted a song that touches the hearts of listeners and encourages them to press on in faith.
3. Bible Verses Related to "Nitafika Tu":
a) Proverbs 16:3 - "Commit your work to the Lord, and your plans will be established." This verse encourages believers to entrust their dreams and aspirations to God, knowing that He will guide them and help them achieve their goals.
b) Isaiah 41:10 - "So do not fear, for I am with you; do not be dismayed, for I am your God. I will strengthen you and help you; I will uphold you with my righteous right hand." This verse reminds us that God is always by our side, ready to provide strength and support as we face challenges along our journey.
c) Philippians 4:13 - "I can do all things through him who strengthens me." This verse serves as a reminder that with God's strength, we can overcome any obstacles and accomplish great things.
d) Jeremiah 29:11 - "For I know the plans I have for you," declares the Lord, "plans to prosper you and not to harm you, plans to give you hope and a future." This verse assures believers that God has a purpose for their lives and will guide them towards a successful future.
4. The Power of Hope and Faith:
The lyrics of "Nitafika Tu" emphasize the power of hope and faith in the life of a believer. The song acknowledges that the journey may be difficult, with mountains to climb and valleys to cross, but it encourages individuals to hold onto the promises of God. The repetition of the phrase "Nitafika" (I will make it) throughout the song serves as an affirmation of faith and a declaration of victory over adversity.
5. "Tags" and their Integration:
a) Faith: The song "Nitafika Tu" reflects the importance of faith in overcoming challenges and achieving success.
b) Hope: The lyrics of the song inspire hope and encourage believers to hold onto their dreams and aspirations.
c) Determination: The song emphasizes the need for unwavering determination in the face of obstacles.
d) Divine Intervention: "Nitafika Tu" highlights the reliance on God's guidance and intervention in the believer's journey.
e) Overcoming Challenges: The song acknowledges the difficulties faced by believers but encourages them to persevere.
Conclusion:
"Nitafika Tu" is a song that resonates with believers, reminding them of the power of hope and faith. Its lyrics reflect the challenges faced on the journey of faith and the assurance that with God's help, believers can overcome any obstacles and reach their destination. By integrating relevant Bible verses, the song reinforces the message of trust in God's plan and the assurance of His presence. As listeners engage with the lyrics of "Nitafika Tu," they are encouraged to persevere in their faith and hold onto the promises of God, knowing that they will ultimately make it to their desired destination.