Paul Clement - Safari Lyrics

Album: The Journey
Released: 09 May 2025
iTunes Amazon Music

Lyrics

Toka mwanzo wa safari yangu
Aliahidi kuwa upande wangu
Hivyo najua siko peke yangu
Niko na yeye, yuko na mimi

Mawimbi yaje ama yasije
Upepo uvume ama usivume
Najua atuliza mawimbi
Niko na yeye, yuko na mimi

Furaha yangu, ni kwa sababu
Mungu yupo, upande wangu
Kaahidi, hataniacha
Hatanitupa, yuko nami

Amani yangu, ni kwa sababu
Mungu yupo, upande wangu
Kaahidi, hataniacha
Hatanitupa, yuko nami

Furaha yangu, ni kwa sababu
Mungu yupo, upande wangu
Kaahidi, hataniacha
Hatanitupa, yuko nami

Amani yangu, ni kwa sababu
Mungu yupo, upande wangu
Kaahidi, hataniacha
Hatanitupa, yuko nami

Na kama Bwana akiwa upande wangu
Ni nani aliye juu yangu
Sababu yeye aliye upande wangu
Yuko juu ya juu zote

Magonjwa yaje ama yasije
Na majaribu pia
Najua aliye upande wangu
Yuko juu ya juu zote

Furaha yangu, ni kwa sababu
Mungu yupo, upande wangu
Kaahidi, hataniacha
Hatanitupa, yuko nami

Amani yangu, ni kwa sababu
Mungu yupo, upande wangu
Kaahidi, hataniacha
Hatanitupa, yuko nami

Furaha yangu, ni kwa sababu
Mungu yupo, upande wangu
Kaahidi, hataniacha
Hatanitupa, yuko nami

Amani yangu, ni kwa sababu
Mungu yupo, upande wangu
Kaahidi, hataniacha
Hatanitupa, yuko nami

Sitaogopa mapito
Hata yakija
Hataruhusu
Yaniangushe
Atanivusha

Sitaogopa mapito
Hata yakija
Hataruhusu
Yaniangushe
Atanivusha

Video

Paul Clement - Safari ( Official live video )

Thumbnail for Safari video
Loading...
In Queue
View Lyrics