Paul Clement - Safari Lyrics
Lyrics
Toka mwanzo wa safari yangu
Aliahidi kuwa upande wangu
Hivyo najua siko peke yangu
Niko na yeye, yuko na mimi
Mawimbi yaje ama yasije
Upepo uvume ama usivume
Najua atuliza mawimbi
Niko na yeye, yuko na mimi
Furaha yangu, ni kwa sababu
Mungu yupo, upande wangu
Kaahidi, hataniacha
Hatanitupa, yuko nami
Amani yangu, ni kwa sababu
Mungu yupo, upande wangu
Kaahidi, hataniacha
Hatanitupa, yuko nami
Furaha yangu, ni kwa sababu
Mungu yupo, upande wangu
Kaahidi, hataniacha
Hatanitupa, yuko nami
Amani yangu, ni kwa sababu
Mungu yupo, upande wangu
Kaahidi, hataniacha
Hatanitupa, yuko nami
Na kama Bwana akiwa upande wangu
Ni nani aliye juu yangu
Sababu yeye aliye upande wangu
Yuko juu ya juu zote
Magonjwa yaje ama yasije
Na majaribu pia
Najua aliye upande wangu
Yuko juu ya juu zote
Furaha yangu, ni kwa sababu
Mungu yupo, upande wangu
Kaahidi, hataniacha
Hatanitupa, yuko nami
Amani yangu, ni kwa sababu
Mungu yupo, upande wangu
Kaahidi, hataniacha
Hatanitupa, yuko nami
Furaha yangu, ni kwa sababu
Mungu yupo, upande wangu
Kaahidi, hataniacha
Hatanitupa, yuko nami
Amani yangu, ni kwa sababu
Mungu yupo, upande wangu
Kaahidi, hataniacha
Hatanitupa, yuko nami
Sitaogopa mapito
Hata yakija
Hataruhusu
Yaniangushe
Atanivusha
Sitaogopa mapito
Hata yakija
Hataruhusu
Yaniangushe
Atanivusha
Video
Paul Clement - Safari ( Official live video )