Paul Clement - Safari Lyrics
Lyrics
Toka mwanzo wa safari yangu Aliahidi kuwa upande wangu Hivyo najua siko peke yangu Niko na yeye, yuko na mimi
Mawimbi yaje ama yasije Upepo uvume ama usivume Najua atuliza mawimbi Niko na yeye, yuko na mimi
Furaha yangu, ni kwa sababu Mungu yupo, upande wangu Kaahidi, hataniacha Hatanitupa, yuko nami
Amani yangu, ni kwa sababu Mungu yupo, upande wangu Kaahidi, hataniacha Hatanitupa, yuko nami
Furaha yangu, ni kwa sababu Mungu yupo, upande wangu Kaahidi, hataniacha Hatanitupa, yuko nami
Amani yangu, ni kwa sababu Mungu yupo, upande wangu Kaahidi, hataniacha Hatanitupa, yuko nami
Na kama Bwana akiwa upande wangu Ni nani aliye juu yangu Sababu yeye aliye upande wangu Yuko juu ya juu zote
Magonjwa yaje ama yasije Na majaribu pia Najua aliye upande wangu Yuko juu ya juu zote
Furaha yangu, ni kwa sababu Mungu yupo, upande wangu Kaahidi, hataniacha Hatanitupa, yuko nami
Amani yangu, ni kwa sababu Mungu yupo, upande wangu Kaahidi, hataniacha Hatanitupa, yuko nami
Furaha yangu, ni kwa sababu Mungu yupo, upande wangu Kaahidi, hataniacha Hatanitupa, yuko nami
Amani yangu, ni kwa sababu Mungu yupo, upande wangu Kaahidi, hataniacha Hatanitupa, yuko nami
Sitaogopa mapito Hata yakija Hataruhusu Yaniangushe Atanivusha
Sitaogopa mapito Hata yakija Hataruhusu Yaniangushe Atanivusha
Video
Paul Clement - Safari ( Official live video )