Paul Clement - Safari Lyrics

Album: The Journey
Released: 09 May 2025
iTunes Amazon Music

Lyrics

Toka mwanzo wa safari yangu Aliahidi kuwa upande wangu Hivyo najua siko peke yangu Niko na yeye, yuko na mimi

Mawimbi yaje ama yasije Upepo uvume ama usivume Najua atuliza mawimbi Niko na yeye, yuko na mimi

Furaha yangu, ni kwa sababu Mungu yupo, upande wangu Kaahidi, hataniacha Hatanitupa, yuko nami

Amani yangu, ni kwa sababu Mungu yupo, upande wangu Kaahidi, hataniacha Hatanitupa, yuko nami

Furaha yangu, ni kwa sababu Mungu yupo, upande wangu Kaahidi, hataniacha Hatanitupa, yuko nami

Amani yangu, ni kwa sababu Mungu yupo, upande wangu Kaahidi, hataniacha Hatanitupa, yuko nami

Na kama Bwana akiwa upande wangu Ni nani aliye juu yangu Sababu yeye aliye upande wangu Yuko juu ya juu zote

Magonjwa yaje ama yasije Na majaribu pia Najua aliye upande wangu Yuko juu ya juu zote

Furaha yangu, ni kwa sababu Mungu yupo, upande wangu Kaahidi, hataniacha Hatanitupa, yuko nami

Amani yangu, ni kwa sababu Mungu yupo, upande wangu Kaahidi, hataniacha Hatanitupa, yuko nami

Furaha yangu, ni kwa sababu Mungu yupo, upande wangu Kaahidi, hataniacha Hatanitupa, yuko nami

Amani yangu, ni kwa sababu Mungu yupo, upande wangu Kaahidi, hataniacha Hatanitupa, yuko nami

Sitaogopa mapito Hata yakija Hataruhusu Yaniangushe Atanivusha

Sitaogopa mapito Hata yakija Hataruhusu Yaniangushe Atanivusha

Video

Paul Clement - Safari ( Official live video )

Thumbnail for Safari video
Loading...
In Queue
View Lyrics