Maggie Muliri - Amenihurumia Lyrics

Lyrics

Amenihurumia huyu Yesu Amenitendea huyu Yesu Ooh amenikumbuka huyu Yesu..

Faili langu limesomwa leo nimeshinda kesi Faili langu limesomwa leo nimeshinda kesi Kesi niliyohukumiwa na shetani Kesi niliyohukumiwa na wachawi Kesi niliyohukumiwa na wanadamu

Eeh Mungu wangu, eeh Mungu wangu Eeh Mungu wangu, ooh Baba umenihurumia

Eeh Bwana wangu, eeh Bwana wangu Eeh Bwana wangu, eeh Bwana umenihurumia mimi Eeh Bwana wangu, eeh Bwana wangu Eeh Bwana wangu, eeh Bwana umenihurumia mimi

Wanadamu wamenishtaki kwa maneno mengi Wanadamu wamenishtaki kwa taarifa nyingi Na wengine wamenitamkia maneno magumu Huyu Mungu wa huruma amesimama Huyu Mungu wa faraja amesimama

Kesi niliyohukumiwa sifai mimi Kesi walionitabiria umasikini Kesi walionitabiria kukataliwa Kesi niliyohukumiwa na wanadamu

Ooh Bwana wangu Yesu, ooh Bwana wangu Ooh Bwana wangu, ooh Bwana wangu Umenifutia aibu yangu Umeniondolea aibu mimi Umefuta aibu yangu

Umenivika paji la heshima tena nimeshukuru Umenivisha vazi ya utawala sasa ninashukuru Umenipa sura ya kuheshimika ninashukuru

Eeh Bwana wangu, eeh Bwana wangu Eeh Bwana wangu, eeh Bwana umenihurumia mimi (Umeficha aibu yangu Jehovah) Eeh Bwana wangu, eeh Bwana wangu Eeh Bwana wangu, eeh Bwana umenihurumia mimi

Niliyeitwa mlaumiwa umebadili majina yangu Ninaitwa sawa sawa kubarikiwa Umenihurumia 

Eeh Bwana wangu, eeh Bwana wangu Eeh Bwana wangu, eeh Bwana umenihurumia mimi Eeh Bwana wangu, eeh Bwana wangu Eeh Bwana wangu, eeh Bwana umenihurumia mimi

Video

Maggie Muliri Ft Bahati Bukuku-Amenihurumia (Official Video) SKIZA 7917019 to 811

Thumbnail for Amenihurumia video
Loading...
In Queue
View Lyrics