Maggie Muliri - Amenihurumia Lyrics
Lyrics
Amenihurumia huyu Yesu Amenitendea huyu Yesu Ooh amenikumbuka huyu Yesu..
Faili langu limesomwa leo nimeshinda kesi Faili langu limesomwa leo nimeshinda kesi Kesi niliyohukumiwa na shetani Kesi niliyohukumiwa na wachawi Kesi niliyohukumiwa na wanadamu
Eeh Mungu wangu, eeh Mungu wangu Eeh Mungu wangu, ooh Baba umenihurumia
Eeh Bwana wangu, eeh Bwana wangu Eeh Bwana wangu, eeh Bwana umenihurumia mimi Eeh Bwana wangu, eeh Bwana wangu Eeh Bwana wangu, eeh Bwana umenihurumia mimi
Wanadamu wamenishtaki kwa maneno mengi Wanadamu wamenishtaki kwa taarifa nyingi Na wengine wamenitamkia maneno magumu Huyu Mungu wa huruma amesimama Huyu Mungu wa faraja amesimama
Kesi niliyohukumiwa sifai mimi Kesi walionitabiria umasikini Kesi walionitabiria kukataliwa Kesi niliyohukumiwa na wanadamu
Ooh Bwana wangu Yesu, ooh Bwana wangu Ooh Bwana wangu, ooh Bwana wangu Umenifutia aibu yangu Umeniondolea aibu mimi Umefuta aibu yangu
Umenivika paji la heshima tena nimeshukuru Umenivisha vazi ya utawala sasa ninashukuru Umenipa sura ya kuheshimika ninashukuru
Eeh Bwana wangu, eeh Bwana wangu Eeh Bwana wangu, eeh Bwana umenihurumia mimi (Umeficha aibu yangu Jehovah) Eeh Bwana wangu, eeh Bwana wangu Eeh Bwana wangu, eeh Bwana umenihurumia mimi
Niliyeitwa mlaumiwa umebadili majina yangu Ninaitwa sawa sawa kubarikiwa Umenihurumia
Eeh Bwana wangu, eeh Bwana wangu Eeh Bwana wangu, eeh Bwana umenihurumia mimi Eeh Bwana wangu, eeh Bwana wangu Eeh Bwana wangu, eeh Bwana umenihurumia mimi
Video
Maggie Muliri Ft Bahati Bukuku-Amenihurumia (Official Video) SKIZA 7917019 to 811