Danny Gift - Najua Upo Lyrics

Najua Upo Lyrics

Nilikuwa nikijiuliza tena kwa sana 
Mbona umeniandama ata iwe jinsi nilivyo mimi nikutumikiee 
Ona aah mbona umeniangalia sana 
Na sio eti kwamba mimi na spesheli ama iwe nimetenda wema
Lakini umeniona tena umenichagua 
Sasa mimi na wewe hadi mwisho wa dahari 
Mziki talanta uliyonipa mimi nitakusifu,,, 
Nakupenda unanipenda mimi ndio maana ninaimba

Najua upo aa-aah 
Najua kwamba Baba upo 
umenitengeneza ndo maana mi naimba *2

Najua kuna wengi wenye mali na majina makubwa lakini umeniona mimi 
kiburi na woga vyote ni vijisababu mimi nimeshavipiga teke, 
Niko mbele zako baba nitumie jinsi upendavyo 
Maanake hii urembo na mali nyingi ni chakula cha mchwa
Lakini umeniona, tena umenichagua 
sasa mimi na wewe hadi mwisho wa dahari 
mziki talanta uliyo nipa mimi nitakusifu OOh
Nakupenda unanipenda mimi ndo maana mi ninaimbaa

Najua up aa-aah najua kwamba baba upo 
Umenitengeneza ndo maana mi naimba *2
najua upo ooh wewe upo ooh
najua upo ooh najua upo 
najua upo ooh najua upo 
najua upo ooh najua upo
najua upo na unanipenda mimi eeh

Najua up aa-aah najua kwamba baba upo 
umenitengeneza ndo maana mo mi naimba


Najua Upo Video

Danny Gift Songs

Related Songs