Danny Gift - Unanijali Lyrics

Lyrics

Sasa simple kwema Kwa hii single natema Kila jimbo napenya Na huu mtindo ndo kusema

Mungu ananipeleka na rada(Na rada) Namsifu wazi si kwa faragha(Faragha) Mungu ananipeleka na rada(Na rada) Namsifu wazi si kwa faragha

Unanijali, sa kwa nini nisideke Chali chali, sina wasi wee Nasema woi, mapepo yanakimbia kimbia Yakimwona Yesu yanakimbia wooiii

Mapepo yanakimbia kimbia Yakimwona Yesu yanakimbia Mapepo yanakimbia kimbia  Yakimwona Yesu yanakimbia wooiii

Mapepo yanakimbia kimbia Yakimwona Yesu yana

Fire! Huduma kalongolongo Fire! Na wasanii wote kuiga Bongo Fire! Hizo stori za uwongo Fire! Nia yao ni kutoka na uhondo

Fire! Huduma kalongolongo Fire! Na wasanii wote kuiga Bongo Fire! Hizo stori za uwongo Fire! Nia yao ni kutoka na uhondo

Maisha yangu nagarura Mashida kwangu swala mboga Na bado tunazidi songa Kimoja ka masai na njora

Ahmm laleiyo, mimi napenda Yesu...

Unanijali, sa kwa nini nisideke Chali chali, sina wasi wee Nasema woi, mapepo yanakimbia kimbia Yakimwona Yesu yanakimbia wooiii

Mapepo yanakimbia kimbia Yakimwona Yesu yanakimbia Mapepo yanakimbia kimbia  Yakimwona Yesu yanakimbia wooiii

Mapepo yanakimbia kimbia Yakimwona Yesu yana

Fire! Huduma kalongolongo Fire! Na wasanii wote kuiga Bongo Fire! Hizo stori za uwongo Fire! Nia yao ni kutoka na uhondo

Fire! Huduma kalongolongo Fire! Na wasanii wote kuiga Bongo Fire! Hizo stori za uwongo Fire! Nia yao ni kutoka na uhondo

Ahmm laleiyo, mimi napenda Yesu...

Fire! Huduma kalongolongo Fire! Na wasanii wote kuiga Bongo Fire! Hizo stori za uwongo Fire! Nia yao ni kutoka na uhondo

Fire! Huduma kalongolongo Fire! Na wasanii wote kuiga Bongo Fire! Hizo stori za uwongo Fire! Nia yao ni kutoka na uhondo

Video

Unanijali - Danny Gift (OFFICIAL VIDEO) SMS SKIZA 7636203 TO 811

Thumbnail for Unanijali video
Loading...
In Queue
View Lyrics