Danny Gift - Unanijali Lyrics
Lyrics
Sasa simple kwema Kwa hii single natema Kila jimbo napenya Na huu mtindo ndo kusema
Mungu ananipeleka na rada(Na rada) Namsifu wazi si kwa faragha(Faragha) Mungu ananipeleka na rada(Na rada) Namsifu wazi si kwa faragha
Unanijali, sa kwa nini nisideke Chali chali, sina wasi wee Nasema woi, mapepo yanakimbia kimbia Yakimwona Yesu yanakimbia wooiii
Mapepo yanakimbia kimbia Yakimwona Yesu yanakimbia Mapepo yanakimbia kimbia Yakimwona Yesu yanakimbia wooiii
Mapepo yanakimbia kimbia Yakimwona Yesu yana
Fire! Huduma kalongolongo Fire! Na wasanii wote kuiga Bongo Fire! Hizo stori za uwongo Fire! Nia yao ni kutoka na uhondo
Fire! Huduma kalongolongo Fire! Na wasanii wote kuiga Bongo Fire! Hizo stori za uwongo Fire! Nia yao ni kutoka na uhondo
Maisha yangu nagarura Mashida kwangu swala mboga Na bado tunazidi songa Kimoja ka masai na njora
Ahmm laleiyo, mimi napenda Yesu...
Unanijali, sa kwa nini nisideke Chali chali, sina wasi wee Nasema woi, mapepo yanakimbia kimbia Yakimwona Yesu yanakimbia wooiii
Mapepo yanakimbia kimbia Yakimwona Yesu yanakimbia Mapepo yanakimbia kimbia Yakimwona Yesu yanakimbia wooiii
Mapepo yanakimbia kimbia Yakimwona Yesu yana
Fire! Huduma kalongolongo Fire! Na wasanii wote kuiga Bongo Fire! Hizo stori za uwongo Fire! Nia yao ni kutoka na uhondo
Fire! Huduma kalongolongo Fire! Na wasanii wote kuiga Bongo Fire! Hizo stori za uwongo Fire! Nia yao ni kutoka na uhondo
Ahmm laleiyo, mimi napenda Yesu...
Fire! Huduma kalongolongo Fire! Na wasanii wote kuiga Bongo Fire! Hizo stori za uwongo Fire! Nia yao ni kutoka na uhondo
Fire! Huduma kalongolongo Fire! Na wasanii wote kuiga Bongo Fire! Hizo stori za uwongo Fire! Nia yao ni kutoka na uhondo
Video
Unanijali - Danny Gift (OFFICIAL VIDEO) SMS SKIZA 7636203 TO 811