Zabron Singers - Nakutuma Wimbo Lyrics

Nakutuma Wimbo Lyrics

I wish to share my testimony 
Kupitia wimbo nimtetee Mungu 
Matiafa wapate sikia 
Mazuri ya Mungu vile ni mwema kwetu 
Sisi bure bila Mungu 
Tulivyo navyo ni vya Mungu
Kufanikiwa ni Mungu tu ntabaki na Mungu 
Nadhani wamwelewa Mungu si Mungu wa kushindwa 
Kwa wengi amefanya tendo na sasa wanasifu 

Asante kwa baraka za upendo wako 
Najifunza wabariki wapate na wengine 
Asante kwa baraka ya maisha yangu 
Najifunza wanipenda nishare na wengine

Nakutuma wimbo uende kwa yule 
Ukambariki tena aah 
Makuu ya Mungu vile huinua 
Vile hubariki tena 
Nyumbani kazini uende na Mungu 
Usishindwe kitu tena 
(hee.. hee hee)

Wimbo sema na yule, wewe rafiki wa wote 
Huna ubaguzi enda wimbo 
Kwenye gari waambie, ofisini kazini  
Nyumbani popote upo nenda wimbo 
Neno la Mungu kwetu 

Wengine wakisikia wimbo wanapona 
Waambie mazuri ya Mungu wimbo 
(hee hee heee) 
Nakutuma wimbo uende kwa yule 
Ukambariki tena aah 
Makuu ya Mungu vile huinua 
Vile hubariki tena 
Nyumbani kazini uende na Mungu 
Usishindwe kitu tena 
Likitamka juu ya kitu 
Halitarudi bila kitu lazima litimie 
Umeomba kitu kwa Mungu, huyu ndiye Mungu wa vitu
Kupata na kukosa vitu uamuzi bado yeye 

Asante kwa baraka za upendo wako 
Najifunza wabariki wapate na wengine 
Asante kwa baraka ya maisha yangu 
Najifunza wanipenda nishare na wengine

Nakutuma wimbo uende kwa yule 
Ukambariki tena aah 
Makuu ya Mungu vile huinua 
Vile hubariki tena 
Nyumbani kazini uende na Mungu 
Usishindwe kitu tena 
(hee.. hee hee)


Nakutuma Wimbo Video

Nakutuma Wimbo Lyrics -  Zabron Singers

Zabron Singers Songs

Related Songs