Meneno ya uzima Lyrics - Pitson
Pitson swahili
Chorus:
Ya uzima ni maneno ya uzima
Aliyonena Yesu ni maneno ya uzima
Meneno ya uzima Video
Meneno ya uzima Lyrics
Ya uzima ni maneno ya uzima
Ya uzima ni maneno ya uzima
Aliyonena Yesu ni maneno ya uzima
Aliyonena Yesu ni maneno ya uzima
Alisema njoo unayelemewa
Nitakupumzisha na meneno ya uzima
Na nikutengenze na maneno ya uzima
Alisema njoo(njoo) unayeteseka (teseka)
Nitakupumzisha na meneno ya uzima
Na nikutengenze na maneno ya uzima
Ya uzima ni maneno ya uzima
Ya uzima ni maneno ya uzima
Aliyonena Yesu ni maneno ya uzima
Aliyonena Yesu ni maneno ya uzima
Njoo uliyevunjwa moyo
Nikupanguze machozi na maneno ya uzima
Na nikutengenze na maneno ya uzima
Njoo uliyepotea nikuonyeshe njia na maneno ya uzima
Na nikutengeneze na maneno ya uzima
Ya uzima ni maneno ya uzima
Ya uzima ni maneno ya uzima
Aliyonena Yesu ni maneno ya uzima
Aliyonena Yesu ni maneno ya uzima