Duniani na mbinguni hakuna Mungu mwingine
Jina Yesu likitajwa nainama nainama . .
Mwamba imara kwako niko salama
Nikupe nini Mungu usiyeshindwa
Mwamba imara kwako niko salama
Nikupe nini Mungu usiyeshindwa . .
Jina lako Yesu limeshinda yote
Nikipata Yesu nimepata yoote
Mkate wa uzima (niwe),
mfalme wa amani(niwe)
Mkate wa uzima (niwe),
mfalme wa amani(niwe) . .
Duniani na mbinguni hakuna Mungu mwingine
Jina Yesu likitajwa nainama nainama
Nainama nainama . .
Wakati wa dhiki, wewe ndiwe faraja
Wakati wa kilio wewe ndiwe furaha
Unanijua baba siwezi jificha
Macho yako Baba yako kila pahali . .
Jina lako Yesu limeshinda yote
Nikipata Yesu nimepata yooote
Mkate wa uzima (niwe), mfalme wa amani(niwe)
Mkate wa uzima (niwe),
mfalme wa amani(niwe) Niwe niwe niwe . .
Duniani na mbinguni hakuna Mungu mwingine
Jina Yesu likitajwa nainama nainama Nainama nainama
Write a review/comment/correct the lyrics of Nainama :
Thank You Vince, corrected. 2 years ago
macho yako baba yako kila mahali
sio Maji yako 2 years ago
that in the name of Jesus every knee should bow, of `things' in heaven and `things' on earth and `things' under the earth,