Zabron Singers - Baada Ya Ndoa Lyrics

Lyrics

Dear Mama Ebu Tuongee Kidogo

Nimempata Mchumba Na Nataka Nataka Nioe

Je Ni Ngombe Ngapi Nitadaiwa

Mwambie Mjomba Ajiendae 

Tena Baba Mkwe Amekaza Tutoe Ya Kutosha Iwe Fedha au Mali Mambo Yaende

Na Mkoti Wa Mjomba Tutanunua 

Kaanga Ya Shangazi Nayo Iwepo

Kwenye Ndoa,Babu Na Bibi Kabisa Wasikose 

Wasikose Uhondo,Nataka Watu Wote Wawepo 


Baada Ya Ndoa 

Ya Ndoa,Ya Ndoa 

Baada Ya Ndoa 

Ya Ndoa,Ya Ndoa


Tushaongea Tutajikabidhi Kwa Mungu 

Hata Baada Ya Ndoa Baby

Tushaongea Mpaka Kifo Kije Kitutenge

Hii Baada Ya Ndoa Baby  


Baada Ya Ndoa Tukawasalimu Na Ndugu Zetu

Tena Baada Ya Ndoa Twende Tuwaone Kijijini Kwetu

Baada Ya Ndoa Twende Tumuone Na Baba Mkwe

Mhh Baada Ya Ndoa Twende Kanisani Pamoja Baby


Baada Ya Ndoa 

Ya Ndoa,Ya Ndoa 

Baada Ya Ndoa 

Ya Ndoa,Ya Ndoa


Baada Ya Ndoa 

Maelewano

Tumeshaongea Na Sweety Tusigombane 

Kwa Utani Tucheke Kidogo

Tubebeshane

Mpenzi Ukiwa Safari Nitakumisi


Baada Ya Ndoa Baby

Maelewano

Ya Ndoa Baby

Tumeshaongea Na Sweety Tusigombane 

Turinge Turinge Kidogo 

Tubebishane

Mpenzi Ukiwa Safari Nitakumisi


Mwambie Na Jirani Ajipange

Harusi Inakuja 

Aje Alete Na Zawadi

Ndugu Na Marafiki Watakuja

Tena Watapendeza

Wakinishangilia Mimi 


Baada Ya Ndoa 

Ya Ndoa,Ya Ndoa 

Baada Ya Ndoa 

Ya Ndoa,Ya Ndoa


Baada Ya Ndoa 

Maelewano

Tumeshaongea Na Sweety Tusigombane 

Kwa Utani Tucheke Kidogo

Tubebeshane

Mpenzi Ukiwa Safari Nitakumisi

Video

BAADA YA NDOA -By Zabron Singers(SMS SKIZA 6680542 TO 811)

Thumbnail for Baada Ya Ndoa video
Loading...
In Queue
View Lyrics