Zabron Singers - Imenigharimu Lyrics

Lyrics

Imenigharimu sana mimi kuwa hapa 

Wacha Mungu awe Mungu 

Tangu kuzaliwa kwangu ujana uzee 

Hajawai mi niacha 


Kwenye giza kaniwekea nuru nisihangaike 

Kwenye shida hutengeneza njia watu wake tunapita

Nimekuja kugundua umbali umenileta 

Acha Mungu nikusifu 


Mimi sina Mungu mwingine wa kunitendea haya 

Hakika wanikumbuka 

Hivi nilivyo Mungu ni yeye kaniwezesha 

Ni muweza Baba heehee

Ntaendela kuvuka popote niko na Mungu 

Ni Mungu yuko na mimi 


Ni mengi nimepitia na leo kufika hapa 

Kama si Mungu ni nani? Wadhani nani tena 

Mengi akanivusha na baraka zikapanda 

Wadhani Mungu ni nani, ni nani


Yeye ni nani, wadhani ni nani 

Mungu ni nani eeh eeh


Kuzihesabu tu siku ni nguvu za Mungu 

Ndio maana niko hai 

Sikumlipa chochote, 

wakati wa Mungu unapofika umefika 


Nilipokuita hukusita, ulisema nami 

Ninakushukuru umenipa maisha mazuri  


Nimekuja kugundua wewe ni Mungu mwenye nguvu 

Mwenye mamlaka yote 

Sababu niko na wewe sina hofu na mashaka 

Vita si yangu ni yako 


Hivi nilivyo Mungu ni yeye kaniwezesha 

Ni muweza Baba heehee

Ntaendela kuvuka popote niko na Mungu 

Ni Mungu yuko na mimi 


Ni mengi nimepitia na leo kufika hapa 

Kama si Mungu ni nani? Wadhani nani tena 

Mengi akanivusha na baraka zikapanda 

Wadhani Mungu ni nani, ni nani


Utabaki kuwa Mungu uu

Video

Imenigharimu by zabron singers

Thumbnail for Imenigharimu video

Meaning & Inspiration

I’ve been listening to this, and it hits that spot where you realize just how much you’ve carried, or rather, how much has been carried for you. When they sing about God being there from birth to old age, it feels like that promise in Isaiah about carrying us even when our hair turns gray. It makes me stop and wonder, if I’m honest, do I really live like I believe He’s been the one holding it all together? We talk a lot about "getting through" things, but the lyrics keep coming back to the fact that it wasn't my own strength that made the difference. It’s that idea that the battle isn't mine—it reminds me of 2 Chronicles when Jehoshaphat was told the battle belonged to the Lord. It’s easy to say that when things are quiet, but when you're in the middle of it, you usually want to grab the sword yourself.

There’s this part about not having paid anything for His grace, and that’s where the theology gets sharp. It’s essentially saying we didn’t earn the life we have. If salvation and even just another day of breath is a gift, then why do I spend so much time acting like I’m the one managing my own survival? It humbles me, but it also makes me nervous. If the victory really is His, then what happens to my own ego and my need to control how things turn out? The song keeps asking who else it could be, pointing to God as the only one with the authority. I find myself circling back to that question—if I truly believe He is the one with all power, why do I still carry so much fear and worry about tomorrow? Maybe the point isn't to figure out why I worry, but to keep singing until the weight of that truth actually settles into my chest, even if I don't feel like I've fully arrived there yet.

Loading...
In Queue
View Lyrics