Zabron Singers - Imenigharimu Lyrics
Lyrics
Imenigharimu sana mimi kuwa hapa
Wacha Mungu awe Mungu
Tangu kuzaliwa kwangu ujana uzee
Hajawai mi niacha
Kwenye giza kaniwekea nuru nisihangaike
Kwenye shida hutengeneza njia watu wake tunapita
Nimekuja kugundua umbali umenileta
Acha Mungu nikusifu
Mimi sina Mungu mwingine wa kunitendea haya
Hakika wanikumbuka
Hivi nilivyo Mungu ni yeye kaniwezesha
Ni muweza Baba heehee
Ntaendela kuvuka popote niko na Mungu
Ni Mungu yuko na mimi
Ni mengi nimepitia na leo kufika hapa
Kama si Mungu ni nani? Wadhani nani tena
Mengi akanivusha na baraka zikapanda
Wadhani Mungu ni nani, ni nani
Yeye ni nani, wadhani ni nani
Mungu ni nani eeh eeh
Kuzihesabu tu siku ni nguvu za Mungu
Ndio maana niko hai
Sikumlipa chochote,
wakati wa Mungu unapofika umefika
Nilipokuita hukusita, ulisema nami
Ninakushukuru umenipa maisha mazuri
Nimekuja kugundua wewe ni Mungu mwenye nguvu
Mwenye mamlaka yote
Sababu niko na wewe sina hofu na mashaka
Vita si yangu ni yako
Hivi nilivyo Mungu ni yeye kaniwezesha
Ni muweza Baba heehee
Ntaendela kuvuka popote niko na Mungu
Ni Mungu yuko na mimi
Ni mengi nimepitia na leo kufika hapa
Kama si Mungu ni nani? Wadhani nani tena
Mengi akanivusha na baraka zikapanda
Wadhani Mungu ni nani, ni nani
Utabaki kuwa Mungu uu
Video
Imenigharimu by zabron singers
Meaning & Inspiration
I’ve been listening to this, and it hits that spot where you realize just how much you’ve carried, or rather, how much has been carried for you. When they sing about God being there from birth to old age, it feels like that promise in Isaiah about carrying us even when our hair turns gray. It makes me stop and wonder, if I’m honest, do I really live like I believe He’s been the one holding it all together? We talk a lot about "getting through" things, but the lyrics keep coming back to the fact that it wasn't my own strength that made the difference. It’s that idea that the battle isn't mine—it reminds me of 2 Chronicles when Jehoshaphat was told the battle belonged to the Lord. It’s easy to say that when things are quiet, but when you're in the middle of it, you usually want to grab the sword yourself.
There’s this part about not having paid anything for His grace, and that’s where the theology gets sharp. It’s essentially saying we didn’t earn the life we have. If salvation and even just another day of breath is a gift, then why do I spend so much time acting like I’m the one managing my own survival? It humbles me, but it also makes me nervous. If the victory really is His, then what happens to my own ego and my need to control how things turn out? The song keeps asking who else it could be, pointing to God as the only one with the authority. I find myself circling back to that question—if I truly believe He is the one with all power, why do I still carry so much fear and worry about tomorrow? Maybe the point isn't to figure out why I worry, but to keep singing until the weight of that truth actually settles into my chest, even if I don't feel like I've fully arrived there yet.