Zoravo - Nikupe nini ? Lyrics

Lyrics

Ayayayaya.. ya, umejawa wema na oooh Ayayayaya.. ya. Yoyoyo…  Oyeee

Umejawa wema na fadhili Ahadi zote kwangu ni kweli Umenitoa mbali Bado nasimama katika kweli Ayaya

Sio kwasababu ya mali Uzuri ama shekeli Ila ni kwa wingi Wa zako fadhili Yayayaya ya

Sio kwasababu ya Mali Uzuri ama shekeli Ila ni kwa wingi wa zako fadhili yoo

Nikupe nini, (Eh bwana) Maana fadhili zako ( Zadumu) Milele na milele (eh bwana) Nikupe nini (eh bwana aah) Nikupe nini (Eh bwana) Maana fadhili zako (Zadumu) Milele na milele (eh bwana)

Kwa pendo lako la ajabu Nimefunikwa tu... Wala tena sina tabu eh Yesu kwangu ni tabibu Sitaki tena rejea Hadidu za matabibu Wanadamu Zimejawa takwimu za hofu Zita niharibu uuh yea Sio kwasababu ya mali Uzuri ama shekeli Ila ni kwa wingi Wa zako fadhili Sio kwasababu ya mali Uzuri ama shekeli Ila ni kwa wingi Wa zako fadhili Yoyoyo ... yayaya

Nikupe nini, (Eh bwana) Maana fadhili zako ( Zadumu) Milele na milele (eh bwana) Nikupe nini (eh bwana aah) Nikupe nini (Eh bwana) Maana fadhili zako (Zadumu) Milele na milele (eh bwana)

 

 

 

Video

Zoravo -nikupe nini? (official video) [ SMS Skiza 5962233 to 811]

Thumbnail for Nikupe nini ? video
Loading...
In Queue
View Lyrics