Zoravo - Nikupe nini ? Lyrics
Lyrics
Ayayayaya.. ya, umejawa wema na oooh Ayayayaya.. ya. Yoyoyo… Oyeee
Umejawa wema na fadhili Ahadi zote kwangu ni kweli Umenitoa mbali Bado nasimama katika kweli Ayaya
Sio kwasababu ya mali Uzuri ama shekeli Ila ni kwa wingi Wa zako fadhili Yayayaya ya
Sio kwasababu ya Mali Uzuri ama shekeli Ila ni kwa wingi wa zako fadhili yoo
Nikupe nini, (Eh bwana) Maana fadhili zako ( Zadumu) Milele na milele (eh bwana) Nikupe nini (eh bwana aah) Nikupe nini (Eh bwana) Maana fadhili zako (Zadumu) Milele na milele (eh bwana)
Kwa pendo lako la ajabu Nimefunikwa tu... Wala tena sina tabu eh Yesu kwangu ni tabibu Sitaki tena rejea Hadidu za matabibu Wanadamu Zimejawa takwimu za hofu Zita niharibu uuh yea Sio kwasababu ya mali Uzuri ama shekeli Ila ni kwa wingi Wa zako fadhili Sio kwasababu ya mali Uzuri ama shekeli Ila ni kwa wingi Wa zako fadhili Yoyoyo ... yayaya
Nikupe nini, (Eh bwana) Maana fadhili zako ( Zadumu) Milele na milele (eh bwana) Nikupe nini (eh bwana aah) Nikupe nini (Eh bwana) Maana fadhili zako (Zadumu) Milele na milele (eh bwana)
Video
Zoravo -nikupe nini? (official video) [ SMS Skiza 5962233 to 811]