Obby Alpha + Guardian Angel - Pigana Na Mungu Lyrics

Lyrics


Pre-Chorus:

Siwezi pigana nawe, nanyoosha mikono juu basi pigana na Mungu

Siwezi shindana nawe, nanyoosha mikono juu basi shindana na Mungu

Oh, shindana na Mungu (Shindana na Mungu)

Shindana na Mungu (Shindana na Mungu)

Basi pigana na Mungu (Pigana na Mungu)

Pigana na Mungu (Pigana na Mungu)

Oh Shindana na Mungu (Shindana na Mungu)

Shindana na Mungu (Shindana na Mungu)

Basi pigana na Mungu (Pigana na Mungu)

Pigana na Mungu (Pigana na Mungu)


Verse 1: Obby Alpha:

Hata kama vita nitapigana

Ila ushindi atanishindia

Yote si mapenzi yangu, bali ni mapenzi yake Mungu

Ukitamka laana, la baraka kanitamkia

Yote si mapenzi yangu, bali kwa mapenzi yake Mungu


Hook 1:

Maana uhai wangu mie

Nimemkabidhi yeye

Ukitaka kunigusa mie

Unataka kumgusa yeye

Oh, ukinigusa kwa mema

Atakubariki, atakubariki

Ila ukitaka kwa mabaya

Usishiriki, maana sio rahisi


Hook 2:

Maana vita yangu, eh

Si ya mwili bali ni ya rohoni

Tena sipigani mimi, eh

Anaye nipigania mwokozi

Hivyo


Chorus:

Siwezi pigana nawe, nanyoosha mikono juu basi pigana na Mungu

Siwezi shindana nawe, nanyoosha mikono juu basi shindana na Mungu

Oh, shindana na Mungu (Shindana na Mungu)

Shindana na Mungu (Shindana na Mungu)

Basi pigana na Mungu (Pigana na Mungu)

Pigana na Mungu (Pigana na Mungu)

Oh

Shindana na Mungu (Shindana na Mungu)

Shindana na Mungu (Shindana na Mungu)

Basi pigana na Mungu (Pigana na Mungu)

Pigana na Mungu (Pigana na Mungu)

Ooh, yeah


Verse 2: Guardian Angel:

Ukipigana na mimi, nikuachie Mungu

Basi jua yako, 'imeenda

Ukiwahi pigana na mimi, nikuachie Mungu

Basi jua yako, 'imeenda

Anaye niita ni Mungu mwenyewe

Mbona nipigane vita?, ah

Aliye niita ni Mungu mwenyewe

Mbona nipigane vita?

Maana vita vyangu

Si vya mwili bali ni vya roho

And I don't fight for myself

Anaye nipigania mwokozi (Hivyo)

Ndio hivyo basi

Anaye pigana, sipigani nae

Namuachia Mungu apambane nae

Anaye shindana, sishindani nae

Namuachia Mungu apambane nae

Anaye ni winda, si windani nae

Namuachia Mungu apambane nae

Hey

Namuachia Mungu apambane nae


Hook 3:

Maana vita yangu, eh

Si ya mwili bali ni ya rohoni

Tena sipigani mimi, eh

Anaye nipigania mwokozi

Hivyo


Post-Chorus:

Siwezi pigana nawe, nanyoosha mikono juu basi pigana na Mungu

Siwezi shindana nawe, nanyoosha mikono juu basi shindana na Mungu

Oh, shindana na Mungu (Shindana na Mungu)

Shindana na Mungu (Shindana na Mungu)

Basi pigana na Mungu (Pigana na Mungu)

Pigana na Mungu (Pigana na Mungu)

Oh

Shindana na Mungu (Shindana na Mungu)

Shindana na Mungu (Shindana na Mungu)

Basi pigana na Mungu (Pigana na Mungu)

Pigana na Mungu (Pigana na Mungu)



Oh-oh, pigana na Mungu, ooh


Video

Obby Alpha Ft Guardian Angel - PIGANA NA MUNGU (Official Video)

Thumbnail for Pigana Na Mungu video
Loading...
In Queue
View Lyrics