Solomon Mukubwa - Mfalme wa Amani Lyrics

Lyrics

Daudi kasema, nilikuwa kijana sasa ni mzee Daudi kasema, nilikuwa kijana sasa ni mzee Sijawahi ona mwenye haki ameachwa mimi Wala watoto wake kuombaomba mikate barabarani

Mungu ni mwaminifu, kwa ahadi zake wanadamu Mungu ni mwaminifu, kwa ahadi zake si kama wanadamu Akiongea Yesu ameongea, Akikuahidia kitu, Baba ameahidi na ujasiri aah Atatenda kwa wakati wake yoyoo Ninamwita Bwana wa amani yeyeyee Ninamwita mfalme wa amani bwaanaa Ndio maana mimi ninaimba kwa sababu ya amani yake Ni uwezo gani, uwezo gani unaompinga Yesu Uwezo gani, uwezo gani, uwezo gani Mfalme wa amani, mfalme wa amani uinuliwe Wewe ni mwema, wewe ni mwema Bwana wangu

Usilie, usilie, usiliwe wewe Usilie Bwana anakujua ndugu yangu Amesikia kilio chako wewe mama Unalia nini kwa wanadamu, mama yangu Wanadamu hawatakusaidia na kitu Wanadamu hawatakuwezesha kwa kitu chochote Tunaye mmoja anayepanguza machozi ya watu wake Ni yule mfalme wa amani Ni yule aliyesema yote imekwisha Mama unayoyapitia ni yeye anayeyaona anajua shida yako mama yangu Anajua magumu yako baba yangu Ukiwa na shida usiende kwa waganga wa dunia Ukiwa na magumu usiende kwa wafumu wa dunia

Muite mfalme wa amani, yeye anajibu maombi Ni uwezo gani, uwezo gani unaompinga Baba Uwezo gani, uwezo gani, uwezo gani

Mfalme wa amani, uinuliwe Bwana wangu Yale unayotenda inashangaza dunia nzima Wanaokosa amani ndani ya nyumba zao wape amani Wanaokosa amani ndani ya kazi zao wape amani Ni wewe Bwana wa amani ya kudumu Ni wewe Bwana wa amani ya Afrika Amerika wanalia amani Tunawe Bwana mfalme wa amani Hakuna kitu kile kinachokushinda Bwana

Yeye Mfalme wa Amani uinuliwe Wewe ni mwema, wewe ni mwema Bwana wangu

Video

Solomon Mkubwa - Mfalme Wa Amani (Official Video)

Thumbnail for Mfalme wa Amani video

Meaning & Inspiration

Solomon Mukubwa brings a raw, unvarnished intensity to his music, and Mfalme wa Amani—the King of Peace—is no exception. This track acts as a direct call to abandon our desperate search for help from the world and turn our gaze toward the only one who provides lasting rest. He pulls straight from the wisdom of Psalm 37:25, where David reflects on a lifetime of witnessing God’s faithfulness. When Mukubwa declares he has never seen the righteous forsaken or their children begging for bread, he is grounding his faith in the concrete reality of God’s covenant promises. It is a bold stance against the fear that keeps so many people awake at night, wondering if the Lord truly sees their struggle.

The theology here is simple but piercing. Mukubwa reminds us that when God speaks, His word is not like the hollow promises of men. Hebrews 6:18 tells us it is impossible for God to lie, and Mukubwa taps into that reality by insisting that when Jesus speaks, it is a done deal. He challenges the listener to identify any power that can actually stand against the King of Peace. If we look at the cross, where Jesus cried out It is finished, we see the ultimate authority that renders every other earthly threat small by comparison. He specifically urges those suffering—mothers weeping over their circumstances and fathers bearing heavy burdens—to stop looking toward worldly sources for relief. Running to spiritualists or earthly powers is a betrayal of the peace that Christ purchased with His own blood.

He lifts this plea beyond individual comfort, inviting the King of Peace to settle hearts in our homes and our workplaces. He recognizes that nations across the globe are crying out for a tranquility they cannot manufacture on their own. This is not about a temporary calm but a sovereign rule that dominates the chaos of our modern age. By asking the King to be lifted high, Mukubwa shifts the focus from our problems to the character of the one who holds our future. There is no obstacle too high and no heartbreak too deep for the one who commands the wind and waves. When you realize that the King of Peace is not just a concept but a living presence, you stop begging people for scraps and start resting in the abundance of His presence.

Loading...
In Queue
View Lyrics