Solomon Mukubwa - Mungu wetu Mwenye Nguvu Baba wa milele Lyrics
Lyrics
Biblia yasema waabudio Bwana wataabudu katika roho na Kweli, na ni wakati huu ukiwa ndani ya gari lako ukiwa ndani ya Basi unasafiri, ukiwa unafanya kazi ndani ya ofisi yako, jiunge pamoja nami tumwinue tumwambie wastahili uko mwenye nguvu. Ikiwa uliamka asubuhi na hukumwambia kitu Mungu ni wakati wa kumwambia utukuzwe, uinuliwe, jiunge pamoja tumwambie wastahili. Ikiwa unakuwa kwenye maombi ya kufunga na kuomba hebu jiunge pamoja nasi, twende...
Mungu wetu mwenye nguvu Baba wa milele
Mungu wetu mwenye nguvu Baba wa milele
eeh ni MWenye Nguvu, Ebenzer Baba wa milele
Mungu wetu mwenye nguvu Baba wa milele
Ehe wanipa mema, Baba wa milele yote
Mungu wetu mwenye nguvu Baba wa milele
Nguvu zako zashangaza dunia
uliumba mbingu pasipo nguzo hewani Baba
Mungu wetu mwenye nguvu Baba wa milele
Uko mwema Bwana matendo yako ni ya ajabu sana
Neema yako fadhili zako kila asubuhi
Ni mpya tena zanifajiri Mungu niamu kapo
Nikosewa na maisha wanipa tumaini la kupata maisha
Wajapo nicheka majirani wangu wewe ni kwa upande wangu
Ooh Baba, Neema yako fadhili zako kila asubuhi
Ni mpya tena zanifajiri Mungu niamukapo
Wanipa tumaini la Maisha Baba yangu duniani
Natembea nawe Baba yangu hujaniacha mimi
Neema yako fadhili zako kila asubuhi
Ni mpya tena zanifajiri Mungu niamukapo
Kulala kuamuka ni kwa neema yake Mungu ndugu yangu
Ulimupa Mungu nini wewe, usione jinsi ulivyo,
usijivune vune ni neema yake Mungu
Neema yako fadhili zako kila asubuhi
Ni mpya tena zanifajiri Mungu niamukapo
Nani kama wewe Mungu, sina mwingine kama wewe
Mfalme wa dunia ni wewe, mwanzo na mwisho ni wewe
Baba utukuzwe Baba uinuliwe
Daddy Daddy, Baba utukuzwe Baba uinuliwe
Rafiki yangu I love you, I love you, I love you Baba yoo
Baba utukuzwe Baba uinuliwe
Maneno yako yafungua watu, yafungua waatu
Baba utukuzwe Baba uinuliwe
Sitasahau ulikonitoa umenitoa mbali, umenitoa mbali
Baba utukuzwe Baba uinuliwe
Rafiki yangu nakupenda sana, nakupenda sana
Baba utukuzwe Baba uinuliwe
Maneno yako yana nguvu sana, yana nguvu sana
Baba utukuzwe Baba uinuliwe
Kwa neno lako lazaro kafufuka, kafufuka
Baba utukuzwe Baba uinuliwe
Oh Baba, Oh Baba, Oh baba
Video
Solomon Mkubwa - Mungu Mwenye Nguvu (Official Video)
Meaning & Inspiration
Solomon Mukubwa’s "Mungu wetu Mwenye Nguvu Baba wa milele," released on June 27, 2013, stands as a profound declaration of faith, a stirring call to worship that transcends mere listening to become an immersive spiritual experience. From its opening moments, the song establishes itself as more than just a musical piece; it's an invitation, a personal and communal summons to acknowledge the omnipotence and enduring love of God. The narrative woven throughout the lyrics is one of constant reliance, gratitude, and an unwavering belief in a divine helper, a timeless Father. It challenges the worshipper to set aside daily distractions—whether in a car, a bus, or an office—and consciously join in exalting a God who is truly worthy, connecting directly to the biblical instruction in John 4:23-24, where true worship is described as being "in the Spirit and in truth." Mukubwa reminds listeners that even simple acts like waking in the morning are opportunities to give thanks, emphasizing that every breath and moment is a testament to God's grace.
The core message powerfully revolves around God's attributes: His might, His eternity, and His goodness. The title phrase, "Mungu wetu mwenye nguvu Baba wa milele" (Our God, the Mighty Father of Eternity), is a constant refrain, solidifying these foundational truths. The inclusion of "Ebenezer" is particularly poignant, serving as a powerful echo of 1 Samuel 7:12, where Samuel set up a stone, declaring, "Thus far the Lord has helped us." This word choice transforms the song from a general hymn into a personal testimony of God's continuous intervention and support throughout one's life journey. The lyrics marvel at God’s creative power, noting how He "uliumba mbingu pasipo nguzo hewani Baba" (created the heavens without pillars in the air), an awe-inspiring depiction of divine sovereignty that resonates with passages like Psalm 19:1, proclaiming that "the heavens declare the glory of God."
Beyond His power, the song deeply explores God's character through His boundless kindness and enduring grace. It speaks of "Neema yako fadhili zako kila asubuhi ni mpya tena zanifajiri Mungu niamukapo" (Your grace, your mercies are new every morning), a direct, comforting affirmation drawn from Lamentations 3:22-23. This profound declaration grounds the worshipper in the daily reality of God’s unfailing compassion, painting Him as a constant source of fresh hope. Even when faced with life's disappointments or the scorn of others, the song assures the believer of God's unwavering presence: "Wajapo nicheka majirani wangu wewe ni kwa upande wangu" (Though my neighbors mock me, you are on my side), a sentiment strongly supported by Psalm 118:6 which states, "The Lord is on my side; I will not fear." Mukubwa further emphasizes that every moment, from sleeping to waking, is a gift of God's grace, urging humility with the powerful rhetorical question, "Ulimupa Mungu nini wewe... ni neema yake Mungu" (What did you give God... it is His grace), echoing Ephesians 2:8-9 about salvation by grace through faith, not by works.
The latter part of the song elevates God as incomparable and utterly supreme. "Nani kama wewe Mungu, sina mwingine kama wewe" (Who is like you, God? I have no other like you) reflects the exclusiveness of God as proclaimed in Isaiah 40:18 and Exodus 15:11. He is hailed as the "Mfalme wa dunia" (King of the world) and "mwanzo na mwisho" (Alpha and Omega), a direct reference to Revelation 1:8 and 22:13, cementing His eternal reign and omnipotence. The repeated refrain, "Baba utukuzwe Baba uinuliwe" (Father be glorified, Father be lifted high), becomes a powerful act of devotion. The lyrics highlight the transformative power of God’s word, asserting that "Maneno yako yafungua watu... yana nguvu sana" (Your words set people free... are very powerful), a truth powerfully illustrated by the specific mention of Lazarus's resurrection by God's word, as recorded in John 11. This direct reference grounds the theological concept of God's powerful word in a concrete biblical miracle. Finally, the personal declarations of love and friendship, "Rafiki yangu I love you... nakupenda sana," create an intimate connection, portraying God not just as a distant sovereign but as a close confidante and Father, a friend who has brought the worshipper "mbali" (far) from their past, embodying the personal relationship offered through faith, much like God's friendship with Abraham in James 2:23. "Mungu wetu Mwenye Nguvu Baba wa milele" is thus a comprehensive tapestry of worship, weaving together theological truth, personal testimony, and an urgent invitation to experience God's active presence in everyday life, leaving listeners encouraged, humbled, and passionately drawn to the Almighty.