Sifa Lyrics

Umeniweza by Solomon Mukubwa cover art

Solomon Mukubwa - Umeniweza Lyrics

Artist:
Solomon Mukubwa

Lyrics

Umeniweza Umeniweza 


Umeniweza nimetulia 


Nilikuwa mbishi sana (umeniweza) 


Nilikuwa sisikii ooh (umeniweza) 


Umeniweza Bwana (umeniweza) 


Nimewezewa na wewe (umeniweza) 


(Nimetulia)


Mimi huyu hapa nilikuwa kam-very complicated sana 


Nilipokutana na wewe 


Nilikuwa kamubishi sana 


Nilikuwa napinga maneno yako Mungu 


Nilipokutana na wewe


Masikio yangu yalikuwa magumu nilikuwanga sisikiangi 


Yesu nilipokutana nawe (umeniweza nimetulia) 


Pombe nilikunywa sana bangi nilivuta sana 


Nilipokutana na wewe (umeniweza nimetulia) 


Umeniweza umeniweza Bwana 


Leo nimenyenyenyekea (umeniweza nimetulia) 


Leo nimetulia kwako 


Umenipa furaha ya wokovu Yesu 


Nilipotulia kwako Bwana 


Umenitengeneza mapito yangu 


Wengine wetu wamekunywa pombe mpaka wakalala mitaroni 


Walipokutana na wewe (umewaweza wametulia) 


Wengine walipata mshahara wakakimbilia geste na kahaba 


Walipokutana na wewe (umewaweza wametulia) 


Wengine walikuwa ni waasi wa neno lako 


Walipokutana na wewe (umewaweza wametulia) 


Wengine walikuwa na michanuko walipokutana na Yesu 


michupuko imeanguka chini 


Walipokutana na wewe (umewaweza wametulia) 


Wengine walikuwa na mipango ya kando 


Walipokutana na Yesu mipango ya kando imeanguka 


(umewaweza wametulia)  


Mwanaume Yesu wee Yesu umetuweza 


(umeniweza nimetulia) 


Nimesaluti kwako (umeniweza) 


Yesu umetuweza (umeniweza) 


(umeniweza nimetulia) 


Waliokuwa wahuni wamekugeukia (umeniweza) 


Umewaweza Yesu wamerudi kwa maisha 


(umeniweza nimetulia)


Umeniweza eeeh, umeniweza Baba (umeniweza) 


Umeniweza nashindwa kuongea (umeniweza nimetulia) 


Ameniweza ameniweza (umeniweza) 


...