Enid Moraa + Reuben Kigame - Wewe Ni Bwana Lyrics

Wewe Ni Bwana Lyrics

Wewe ni Bwana, juu ya mabwana
Ufalme wako, wadumu milele
Wewe ni Bwana, juu ya mabwana
Umetukuka, milele amina

Wewe ni Bwana, juu ya mabwana
Ufalme wako, wadumu milele
Wewe ni Bwana, juu ya mabwana
Umetukuka, milele amina

Katoka juu, mbinguni kaja hapa duniani
kamwaga damu kalivari, ili nipate kombolewa
Na nimeokoka, nioshwa dhambi Nimekuwa safi,
ninakusifu Milele na milele na mile-ele
Wewe ni Bwana, juu ya mabwana
Ufalme wako, wadumu milele
Wewe ni Bwana, juu ya mabwana
Umetukuka, milele amina

Majaribu yaja, shida nazo zaja
Kila siku mbio, ni katika vita
Adui hatasita kunimaliza, nami nimeuona mkondo wa Yesu
Msaada wangu, tegemeo langu,
Mwambwa imara wake nasimama
NImeweka imani kwa yule aliye mwaminifu

Wewe ni Bwana, juu ya mabwana
Ufalme wako, wadumu milele
Wewe ni Bwana, juu ya mabwana
Umetukuka, milele amina

Wewe ni Bwana, juu ya mabwana
Ufalme wako, wadumu milele
Wewe ni Bwana, juu ya mabwana
Umetukuka, milele amina

Umetukuka, milele amina
Umetukuka, milele amina


Wewe Ni Bwana Video

Enid Moraa Songs

Related Songs