Nadia Mukami - Zawadi Lyrics
Lyrics
Zawadi kanipa mungu sasa kwanini nisipokee Zawadi ya kiyoyozi palipo joto baridi unipepee Tena baridi si nyingi kiasi usingizi uniletee Nikitoka kazini uchovu mawazo unifanya yapotee
Ivi ushapendwa manake nikipenda waga napenda kweli Uoga kwa wakutendwa usihofu mimi si kama wale matapeli Basi leo nadeka nacheza napendwa na Wewe, Nishike nipinde nibebe nimenaswa na wewe
Mmh eeeeh basi leo nadeka nacheza napendwa na wewe mmmh baby Nishike nipinde nibebe nimenaswa na wewe baby Kina chako cha mapenzi nishazama(aaayaayaa) Nguvu zaniisha ukintazama(aaayaayaa) Mi ni wako pekee mwengine hapana Wanaosema watasema sana
Nimepata zawadi zawadi yangu mmmmh Nimepata zawadi zawadi yangu yeeeeeah Nimepata zawadi zawadi yangu uuuh Nimepata zawadi zawadi yangu uuuh Zawadi yangu...zawadi yanguuu Zawadi yangu...zawadi yanguuu
Kwa geti ntaekea mbwa kali ndio mafisi wasisogee Nikulinde nikutunze sarafu mikononi usinipotee Niruhusu nikugande chawa Umenishika pabaya Unachotaka mi ni sawa Mana nishapagawa
Jamani penzi letu limebobea Nimepata wangu mi napepea Kitausi naringa nikitembea Unavonipenda najichekea Basi leo nadeka nacheza napendwa na wewe,(na wewe) Nishike nipinde nibebe nimenaswa na wewe Mmh eeeeh basi leo nadeka nacheza napendwa na wewe mmmh baby Nishike nipinde nibebe nimenaswa na wewe baby
Kina chako cha mapenzi nishazama(aaayaayaa) Nguvu zaniisha ukintazama(aaayaayaa) Mi ni wako pekee mwengine hapana Wanaosema watasema sana.
Nimepata zawadi zawadi yangu mmmmh Nimepata zawadi zawadi yangu yeeeeeah Nimepata zawadi zawadi yangu uuuh Nimepata zawadi zawadi yangu uuuh Zawadi yangu...zawadi yanguuu (Basi leo nadeka nacheza napendwa na wewe) Zawadi yangu...zawadi yanguuu (Nishike nipinde nibebe nimenaswa na wewe) Basi leo nadeka nacheza napendwa na wewe Nishike nipinde nibebe nimenaswa na ewe
Video
Nadia Mukami ft Latinoh - Zawadi (Official Video)
Meaning & Inspiration
not a christian song.