Jimmy Gait - Corona Lyrics
Lyrics
Ilikuwa ni Monday morning My phone ika ring ring ring Nilipokea simu yangu Ilikuwa ni Akinyi
Amekuwa ni rafiki wa karibu Just the other day kaolewa majuu Hey hello, 'Jimmy' 'Are you okey? Are you okey?'
Your husband? Ni nini imefanyika?
"Bwana yangu amekufa, Alikuwa anakohoa sana, joto jingi Na kushindwa kupumua Daktari alisema ni Corona"
Oooh Corona, watisha ulimwengu Lakini Mungu yupo, itakuwa sawa Itakuwa sawa(Sawa sawa) Tukitizama Mungu, itakuwa sawa(Sawa sawa)
Sawa sawa, sawa sawa Sawa sa, sawa sa, sawa sawa Sawa sawa, sawa sawa Sawa sa, sawa sa, sawa sawa
Hata kama kuna wingu limetanda La Corona linatisha sisi wote Kwa pamoja tunaweza kujikinga Kwa kufuata maagizo kama haya
Kwa mara nyingi osha mikono yako kwa sabuni Na usiguze macho, mdomo na hata na mapua Ni bora ufunikie mdomo kama wakohoa Maumivu yakizidi ona daktari Na walioadhirika ni watu kama sisi Tusiwaachilie
Oooh Corona, watisha ulimwengu Lakini Mungu yupo, itakuwa sawa Itakuwa sawa(Sawa sawa) Tukitizama Mungu, itakuwa sawa(Sawa sawa)
Everything is gonna be alright Everything is gonna be alright Everything is gonna be alright Everything is gonna be alright
Everything is gonna be alright Everything is gonna be alright Everything is gonna be alright Everything is gonna be alright
Video
CORONA by Jimmy Gait aka Mr. Favour(Official Video)Skiza 7636757