Jimmy Gait - Favour Lyrics

Lyrics

Favour mi naomba tu favour Oooh favour mi naomba tu favour Nikiwa na favour haitajalisha Kile ninacho au sina

Esther wa Bibilia alikuwa na favour  Mabinti wengine walitegemea tu urembo Na ili wawe bibi wa mfalme Hawakujua kuna kitu inaitwa favour Yaani favour ya kufanya upendeze Yaani favour ya kufanya ukubalike

Favour, favour, favour Favour, favour, favour Esther ufalme kapatiwa, ufalme kapatiwa Esther ufalme kapatiwa, ufalme kapatiwa

Favour mi naomba tu favour Oooh favour mi naomba tu favour Nikiwa na favour haitajalisha Kile ninacho au sina

Naomba favour aah, naomba favour 

Saa zingine unajipata Huna pesa ya biashara Na wale wako nazo  Hawataki kusaidia

Kumbuka kuna kitu inaitwa favour Ukitaka promotion na kunayo competition Kumbuka kuna kitu inaitwa favour

Haijalishi umetoka wapi Haijalishi umesoma vipi Favour ndio wahitaji

Favour, ndio wahitaji Esther ufalme kapatiwa Ufalme kapatiwa

Favour mi naomba tu favour Oooh favour mi naomba tu favour Nikiwa na favour haitajalisha Kile ninacho au sina

Naomba favour aah, naomba favour  Naomba favour aah, naomba favour 

Oooh- oooh-oooh, oooh Ninakutabiria favour biashara yako itauza Ninakutabiria favour kwa masomo yako utapita Ninakutabiria favour ndoa yako itasimama Ninakutabiria favour magonjwa yote utapona Ninakutabiria favour madeni yote utalipa

Favour mi naomba tu favour Oooh favour mi naomba tu favour Nikiwa na favour haitajalisha Kile ninacho au sina

Naomba favour aah, naomba favour  Naomba favour aah, naomba favour 

Video

Mr. FAVOUR/JIMMY GAIT - FAVOUR (OFFICIAL VIDEO) SKIZA*811*281#

Thumbnail for Favour video
Loading...
In Queue
View Lyrics