Jimmy Gait - Favour Lyrics
Lyrics
Favour mi naomba tu favour Oooh favour mi naomba tu favour Nikiwa na favour haitajalisha Kile ninacho au sina
Esther wa Bibilia alikuwa na favour Mabinti wengine walitegemea tu urembo Na ili wawe bibi wa mfalme Hawakujua kuna kitu inaitwa favour Yaani favour ya kufanya upendeze Yaani favour ya kufanya ukubalike
Favour, favour, favour Favour, favour, favour Esther ufalme kapatiwa, ufalme kapatiwa Esther ufalme kapatiwa, ufalme kapatiwa
Favour mi naomba tu favour Oooh favour mi naomba tu favour Nikiwa na favour haitajalisha Kile ninacho au sina
Naomba favour aah, naomba favour
Saa zingine unajipata Huna pesa ya biashara Na wale wako nazo Hawataki kusaidia
Kumbuka kuna kitu inaitwa favour Ukitaka promotion na kunayo competition Kumbuka kuna kitu inaitwa favour
Haijalishi umetoka wapi Haijalishi umesoma vipi Favour ndio wahitaji
Favour, ndio wahitaji Esther ufalme kapatiwa Ufalme kapatiwa
Favour mi naomba tu favour Oooh favour mi naomba tu favour Nikiwa na favour haitajalisha Kile ninacho au sina
Naomba favour aah, naomba favour Naomba favour aah, naomba favour
Oooh- oooh-oooh, oooh Ninakutabiria favour biashara yako itauza Ninakutabiria favour kwa masomo yako utapita Ninakutabiria favour ndoa yako itasimama Ninakutabiria favour magonjwa yote utapona Ninakutabiria favour madeni yote utalipa
Favour mi naomba tu favour Oooh favour mi naomba tu favour Nikiwa na favour haitajalisha Kile ninacho au sina
Naomba favour aah, naomba favour Naomba favour aah, naomba favour
Video
Mr. FAVOUR/JIMMY GAIT - FAVOUR (OFFICIAL VIDEO) SKIZA*811*281#