Erick Smith - Nakuhitaji Lyrics

Nakuhitaji Lyrics

In You I have found Joy 
In You there is peace 
Which has never been found before 
My desire is to please You 
And always be a vessel used by thee 

Nataka kufanana nawe Bwana 
Nakuhitaji Nakuhitaji 
Kijito cha maji ya uzima Yesu
Nakuhitaji Nakuhitaji 

Nataka kunywa kwako ili nisiwe na kiu tena Bwana 
Nakuhitaji Nakuhitaji 
Yahweh Yahweh 
Wanitosheleza wanitosheleza Bwana 
Yahweh Yahweh 
Wanitoshelezaa waniotosheleza Bwana 

ms 3:3, ms 131:2

Bila wewe nitaenda wapi Bwana 
Nakuhitaji nakuhitaji Yesu wangu 

Nikiwa mbele zako natulia 
Nikiwa mbele zako natulia 
Amani yako ni kama chemichemi ya maji 
Wewe ni rafiki usiye wa kawaida 
Ni kwako tu naegemea 

Nikiwa mbele zako natulia 
Amani yako ni kama chemichemi ya maji 
Wewe ni rafiki usiye wa kawaida 
Ni kwako tu naegemea 

Jesus I want to be like You 
Lord I need thee 
LOrd I need thee 


Nakuhitaji Video

Nakuhitaji Lyrics -  Erick Smith

Erick Smith Songs

Related Songs