Sifa Lyrics

Jipe Moyo by Erick Smith cover art

Erick Smith - Jipe Moyo Lyrics

Artist:
Erick Smith

Lyrics

Jipe moyo Mungu anakujua 


Jipe moyo yu pamoja nawe 


Punde si punde ateleta faraja 


Punde si punde ateleta faraja 


Jibu kwa mahitaji yako.


Siku zatoshana lakini zote si sawa 


Usiku inapokuja lazima kutapambazuka 


Kila kitu na wakati wake 


Leo ni machozi kesho ni nderemo 


Mateso ya mwenye haki ni mengi 


Lakini Bwana humponya nayo yote. 


Jipe moyo Mungu anakujua 


Jipe moyo yu pamoja nawe 


Punde si punde ateleta faraja 


Punde si punde ateleta faraja 


Jibu kwa mahitaji yako 


Jibu kwa mahitaji yako oh. 


Alisema anawajua walio wake eeh 


Na walio wake wanamjua 


Anasikia kilio chao nao pia wamsikia. 


Ooh wanamuita Baba na anawaita wana 


Hata majira yabadilike najipa moyo. 


Maana najua Bwana yu pamoja nami. 


Hawezi niacha Baba Baba ooh 


Jipe moyo Mungu anakujua 


Jipe moyo yu pamoja nawe 


Punde si punde ateleta faraja 


Punde si punde ateleta faraja 


Jibu kwa mahitaji yako 


Jibu kwa mahitaji yako oh. 


Yesu (Yesu)


Mfariji mwema (mfariji mwema) 


Yesu (Yesu)


Hawezi kuacha (hawezi kuacha) 


Punde si punde ateleta faraja (ataleta faraja) 


Jipe moyo Mungu anakujua 


Jipe moyo yu pamoja nawe 


Punde si punde ateleta faraja 


Punde si punde ateleta faraja 


Jibu kwa mahitaji yako 


Jibu kwa mahitaji yako oh. 


Video